06/03/2026
Katikati yao alipita mmoja wao
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MINGA Sports News, Tunduma.
MINGA SPORTS NEWS Ni page ya Mwalimu Minga
karibu Sana tumia lugha nzuri yenye staha
Ushauri unaruhusiwa kwa faida ya wote
Kutakuwa na habari za Michezo na burudani
Kwa mawasiliano 0759900512
0712019512
@[email protected]
06/03/2026
Katikati yao alipita mmoja wao
07/01/2026
JUMAPILI HIIIII
07/01/2026
Sasa TUNAVUKA BORDAR SASA NI NAKONDE ZAMBIA STADIUM
KIMONDO ALL STARS VS NAKONDE BULLETS
IJUMAA HII KARIBU SANA
https://www.instagram.com/p/DTMzCN-DNBk/?igsh=cnUxYnZkZHdkbXUy
28/12/2025
KIMONDO SSC LEGEND
28/12/2025
FUNGA MWAKA NA MASTAR WA KIMONDO SSC
Imepita Miaka mingi sana tangu kimondo ssc kushuka DARAJA ni wazi ilisheheni ajira nyingi Kwa vijana ndani ya Mkoa wa Songwe na nje ya Mkoa
Unakumbuka UWEPO wa James MWASOTE,George Mpole na hata Mashaka Mwakyoma Bila kumsahau Captain wa muda wote Geoffrey Mlawa mbele ya Mwashiuya na Afrika Junior kagawa
Ilikuwa kimondo ssc YENYE ubora usiolezeka ndani yake ilitoa ajira nyingi ikiwemo watu kutoka mataifa mengine Suilanji Mwamengo, Mathews Sibale na hata Mateo Silavwe
Ilileta burudani nzuri sana chini ya Mkurugenzi Wetu ELICK AMBAKISYE MINGA ilifana sana ilikuwa Chachu ya vipaji vingi sana
Leo Kuna Akina Asifiwe Lwinga,Meshack Mwamita,Ezekia Mwashilindi akina Zabona Mayombya wote waliopita hapo
Tarehe 31 Disemba 2025 fika Mlowo uwanja wa Forest kushudia malegend Hawa wakitoa burudani shidi ya MWASHAMBWA Combine
Wahi Mapema ushudie mtanange huo
kuwa na TIMU ya LIGI kuu inawezekana Kwa pamoja tunaweza🏟️👏⚽
13/10/2024
Kazini kwetu Kuna kazi Tena msimu huu Hawa ndio wapinzani wetu ligi ya Mkoa 2024
15/12/2023
Senegalese Player, Krepin Diatta, lashed out at people, especially Africans, who m0cked his physical look during the African Cup of Nations. This is what he had to say on social media:
"I am very sad to see some African brothers making fun of me. I work for our beautiful and dear African continent and what I receive in return are only insults, mockery of my brothers. This is too bad of you and racism comes from there.
I need your encouragement and not your insults. Thank you to everyone who supports me. Only God makes my strength and I am proud of my physical person. Your m0ckery won't change anything in my life. But one thing is for sure, we are all african."
Daa 😭
27/06/2023
All the best My team 👏
17/05/2023
Chuma Cha Pili MOc SUPER CUP SONGWE ALL STARS
17/05/2023
Chuma Cha Cha Kwanza MOc SUPER CUP SONGWE ALL STARS