10/05/2026
๐ฉธ Breaking News: GIRUMUGISHA Jean Claude๐ง๐ฎ, kuelekea Ufaransa๐ซ๐ท kwenye majaribio.
Magazeti ya nchini Burundi na nchini Rwanda yanaripoti kua Winga wa Klabu ya Al Hilal Omdurman๐ธ๐ฉ,yuko mbioni kuelekea Ufaranaa kufanya majaribio katika moja ya vilabu vya ligi kuu huko League 1.
inasemekana Klabu ya OGC Nice ao Lille
17/01/2026
๐| Fainali kuu
โฝ| Senegal๐ Morocco
๐๏ธ | 18-01-2026
โฐ| 19:00 GMT
๐๏ธ| Prnce Moulay Abdellah Stadium
11/01/2026
๐จ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Tajiri Aweka mzigo Nigeria๐ณ๐ฌ kuiondoa Morocco๐ฒ๐ฆ nusu fainali๐ฅ.
โก๏ธ Bilionea wa Nigeria, Alhaji Abdul Samad Rabiu, ametangaza zawadi nono kwa wachezaji wa Timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles kuelekea Nusu Fainali.
โก๏ธ Ameahidi $500,000 [ Bilioni 1.2 Tsh ] k**a watashinda mechi ya Nusu fainali lakini pia watapata $50,000 [ Milioni 123 Tsh ] kwa kila goli moja watakalofunga kwenye kwenye Nusu fainali
โก๏ธ Ahadi kubwa zaidi ni $1,000,000 [ Bilioni 2.4 Tsh ] k**a watabeba ubingwa na zawadi ya kila goli kwenye fainali watapata $100,000.
โก๏ธ Kwa kifupi Tajiri ananua goli Milioni 123 Nusu fainali, alafu ananunua tena goli moja.
โก๏ธ Fainali anawapa Bilioni 1.2, Wakibeba ubingwa anawapa Bilioni 2.4.
11/01/2026
๐| wiki ya 15
โฝ๏ธ| Al Hilal๐ Al Nassr
๐๏ธ| 12-01-2026
๐๏ธ| Kingdom Arena
โฐ| 17:30 GMT
patawaka moto๐ฅAl nasr wanaongoza ligi kwa alama 2 mbele.
07/01/2026
Quarter finals๐ฅitakua ya moto sana
07/01/2026
๐จ๐๐๐๐๐๐, ๐ ๐๐๐๐๐๐:
Juma tano ya moto๐ฅ
ma kocha wapya chelsea๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ na manchester united ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ nchini wingereza wako dimbani, mwanzo utakuaje?
05/01/2026
Robo fainali itakua ya moto sana. inasubiriwa michezo miwili ili kukamilisha team 8 zitakazo minyana Robo fainali:
Dr Congo๐จ๐ฉ๐ Algeria๐ฉ๐ฟ
Ivory Cost๐จ๐ฎ๐ Burkina Faso๐ง๐ซ
05/01/2026
๐๏ธLegend wa manchester united Rio Ferdinand๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ azungumzia kuhusu Ruben Amorim๐ต๐นkufukuzwa manchester united.
Rio anasema ๐ฃ: "Nimeshtuka sana niliposikia hio taarifa, lakini niliporejea takwimu zake, sikushtuka kabisa."
๐ฃ: "Ndie kocha mwenye Takwimu mbovu zaidi baada ya kuondoka kwa Sir Alex Faguerson."
05/01/2026
๐จ ๐๐๐๐๐๐๐๐: ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ต๐น Afutwa kazi ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐! baada ya mfulurizo wa matokeo mabovu, ambapo uongozi uliamini team yao ingeweza kufanya vizuri zaidi kwa kikosi walichonacho.
๐๐โ๐ ๐๐๐๐. ๐๐๐ผ
05/01/2026
๐จ ๐๐๐๐๐๐, ๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐:
matokeo ga mechi ulimwenguni: