Bobby Sports

Bobby Sports

Share

Kwa Update Nyingi Sana Za Soka La Ulaya NA Africa,Tetesi ,Matokeo Na Habari Nyingi Zinazo Husu Sokaโšฝ

Photos from Bobby Sports's post 30/05/2026

UTABIRI WA FAINALI UEFA CHAMPIONS LIGI!

๐Ÿ†๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ Hivi ndivyo Ma Legend wanavyoona mchezo mkubwa ukitokea:

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ David Silva: Arsenal 1-0 PSG
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Yaya Tourรฉ: PSG 2-0 Arsenal
๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Rio Ferdinand: Arsenal 1-0 PSG
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Xavi Hernรกndez: PSG 3-1 Arsenal
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท Julio Cesar: 2-2 (Arsenal kushinda 4-3 kwa penalti) ๐ŸŽฏ
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Santi Cazorla: Arsenal 2-1 PSG
๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Theo Walcott: Arsenal 2-1 PSG

Uamuzi: Ma Legend 5 wanaunga mkono The Gunners, 2 wanaunga mkono WaParisi! ๐Ÿคฏ

Nani Atapatia sawa sawa?

Dondosha ubashiri wako hapa chini! Kwenye comment

Mie naondoka na PSG ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ

30/05/2026

๐Ÿšจ๐Ÿ’ฃ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Xavi atabiri ushindi wa 3-1 kwa PSG katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Photos from Bobby Sports's post 30/05/2026

๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ต๐Ÿฅ‡๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹ | Daichi Kamada (29) sasa ndiye mchezaji wa KWANZA wa Kijapani kushinda mataji mawili makubwa ya Uropa. โœ…

๐Ÿ† Ligi ya Europa 2021/22
๐Ÿ† Ligi ya Mikutano ya 2025/26

Vikombe vyote viwili Amevishinda Akiwa chini Ya Kocha Oliver Glasner pia!

30/05/2026

๐Ÿšจ๐Ÿ†Taji la UEFA Champions League Liko tayari liko Budapest kwa ajili ya kogombaniwa Leo Jumamosi kati ya Arsenal na PSG.โœ…๏ธ ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡บ

Nani Ataibuka Mshindi ?? Tukutane Kwenye Comment

Photos from Bobby Sports's post 30/05/2026

Kila mchezaji wa Ufaransa huwa anajaribu kupendeza sana ila Kante yeye huwa anahakikisha anavaa nguo ambazo zinaeleweka hazina mambo mengi k**a kawaida yake amefika akiwa hana mambo mengi yupo tayari kwa ajili ya kujiandaa na Kombe la Dunia.

29/05/2026

Mlinzi wa Kati wa Liverpool Ibrahima Konate anahisi โ€˜alichukuliwa poaโ€™ na Kocha Arne Slot pamoja na Liverpool kwenye mazungumzo ya mkataba mpya yaliyoshindikana na sasa anaondoka rasmi akiwa huru kuanzia wiki ijayo.

Mazungumzo ya mkataba mpya yalianza Novemba mwaka jana na licha ya kujaribu kila kitu ila hakukuwa na muafaka na yamekufa rasmi na Konate atatangaza rasmi uamuzi wa kuondoka Anfield baada ya miaka mitano mapema wiki ijayo

Source: ryno_perfume

29/05/2026

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Ousmane Dembรฉlรฉ na Achraf Hakimi wote wamejumuishwa kwenye kikosi cha PSG kitakachomenyana na Arsenal kwenye FAINALI ya UEFA Champions League, licha ya matatizo yao ya hivi majuzi ya kimwili. ๐Ÿ”™

SIRAHA ZOTE ZINAPATIKANA Kwenye List kwa ajili ya Kocha Luis Enrique kabla ya mechi kubwa zaidi ya msimu huu. ๐Ÿ†๐Ÿ‘€

29/05/2026

๐Ÿšจ Ndoa ya Pyaramid na Fiston Kalala Mayele (31) imefika mwisho.

Mayele anaondoka Pyramid,k**a mchezaji huru baada ya miaka mitatu.

Mkataba wake na Pyramid utamalizika tarehe 30/06/2026 na amegoma kuongeza mpya.

Mayele anaelekea Saudi Arabia kucheza ligi moja na CR7 na tayari amesaini miaka miwili na klabu moja wapo ya (RSL).

Mayele anaondoka Pyramid akiwa na vikombe vinne๐Ÿ‘‡

CAF Champions League ๐Ÿฅ‡
CAF Super Cup๐Ÿฅ‡
FIFA Intercontinental Cup๐Ÿฅ‡
Egypt Cup๐Ÿฅ‡

๐Œ๐€๐…๐€๐๐ˆ๐Š๐Ž ๐๐ˆ๐๐€๐…๐’๐ˆ๐Ÿ‘‡

CAF Champions League Top scorerโœ…
African Inter-Club Player of the Yearโœ…
FIFA Intercontinental Cup Top Scorerโœ…

Inasemekana Itโ€™s Over Kati ya Pyaramid na Mayele

29/05/2026

๐Ÿ’ฃใ€ฝ๏ธ ๐•ƒ๐”ธ๐•‹๐”ผ๐•Š๐•‹: Atlรฉtico Madrid wanaonyesha nia ya kumsajili Tijjani Reijnders! Mawasiliano yanaendelea kuhusiana na hali ya kiungo huyo. ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ

Atlรฉtico kwa sasa inachunguza uwezekano wa hatua hiyo, ingawa wanajua kabisa kuwa itakuwa ni operesheni ngumu kuikamilisha. โณ

Source::RadioMARCA

FOLLOW US

29/05/2026

๐Ÿšจ ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Paris Saint Germain imetoa ofa ya โ‚ฌ120m kwa Atletico de Madrid pamoja na Wachezaje wake wawili k**a sehemu ya kumsajili mshambuliaji wao Julian Alvarez. ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‘€.

Paris Saint Germain imesema itampa Alvarez mshahara sawa na Ousmane Dembele wa โ‚ฌ22m kwa mwaka k**a atakubali๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ฃ

29/05/2026

๐Ÿšจ Pep Guardiola alichagua kumsajili Kalvin Phillips badala ya Declan Rice mwaka wa 2022 kwa sababu aliamini kuwa kiungo huyo wa Leeds alikuwa na uwezo mzuri wa kupiga pasi na alikuwa bora katika kuusoma mchezo. ๐Ÿ‘€

Ilionekana kuwa moja ya makosa ya nadra ya uhamisho wa Guardiola, na Man City baadaye walijaribu kuteka nyara uhamisho wa Arsenal kwa Rice. โŒ

Kufikia wakati huo, hata hivyo, Mikel Arteta alikuwa tayari amemshawishi Rice kwamba Emirates ndiyo PEKEE anayotaka. โค๏ธ

Source: JBurtTelegraph

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Bujumbura?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Kayanza Street
Bujumbura