30/05/2026
UTABIRI WA FAINALI UEFA CHAMPIONS LIGI!
๐๐ช๐บ Hivi ndivyo Ma Legend wanavyoona mchezo mkubwa ukitokea:
๐ช๐ธ David Silva: Arsenal 1-0 PSG
๐จ๐ฎ Yaya Tourรฉ: PSG 2-0 Arsenal
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Rio Ferdinand: Arsenal 1-0 PSG
๐ช๐ธ Xavi Hernรกndez: PSG 3-1 Arsenal
๐ง๐ท Julio Cesar: 2-2 (Arsenal kushinda 4-3 kwa penalti) ๐ฏ
๐ช๐ธ Santi Cazorla: Arsenal 2-1 PSG
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Theo Walcott: Arsenal 2-1 PSG
Uamuzi: Ma Legend 5 wanaunga mkono The Gunners, 2 wanaunga mkono WaParisi! ๐คฏ
Nani Atapatia sawa sawa?
Dondosha ubashiri wako hapa chini! Kwenye comment
Mie naondoka na PSG ๐๐ฝ
30/05/2026
๐จ๐ฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Xavi atabiri ushindi wa 3-1 kwa PSG katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa.
30/05/2026
๐ฏ๐ต๐ฅ๐๐
๐
๐๐๐๐๐ | Daichi Kamada (29) sasa ndiye mchezaji wa KWANZA wa Kijapani kushinda mataji mawili makubwa ya Uropa. โ
๐ Ligi ya Europa 2021/22
๐ Ligi ya Mikutano ya 2025/26
Vikombe vyote viwili Amevishinda Akiwa chini Ya Kocha Oliver Glasner pia!
30/05/2026
๐จ๐Taji la UEFA Champions League Liko tayari liko Budapest kwa ajili ya kogombaniwa Leo Jumamosi kati ya Arsenal na PSG.โ
๏ธ ๐ญ๐บ
Nani Ataibuka Mshindi ?? Tukutane Kwenye Comment
30/05/2026
Kila mchezaji wa Ufaransa huwa anajaribu kupendeza sana ila Kante yeye huwa anahakikisha anavaa nguo ambazo zinaeleweka hazina mambo mengi k**a kawaida yake amefika akiwa hana mambo mengi yupo tayari kwa ajili ya kujiandaa na Kombe la Dunia.
29/05/2026
Mlinzi wa Kati wa Liverpool Ibrahima Konate anahisi โalichukuliwa poaโ na Kocha Arne Slot pamoja na Liverpool kwenye mazungumzo ya mkataba mpya yaliyoshindikana na sasa anaondoka rasmi akiwa huru kuanzia wiki ijayo.
Mazungumzo ya mkataba mpya yalianza Novemba mwaka jana na licha ya kujaribu kila kitu ila hakukuwa na muafaka na yamekufa rasmi na Konate atatangaza rasmi uamuzi wa kuondoka Anfield baada ya miaka mitano mapema wiki ijayo
Source: ryno_perfume
29/05/2026
๐จ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Ousmane Dembรฉlรฉ na Achraf Hakimi wote wamejumuishwa kwenye kikosi cha PSG kitakachomenyana na Arsenal kwenye FAINALI ya UEFA Champions League, licha ya matatizo yao ya hivi majuzi ya kimwili. ๐
SIRAHA ZOTE ZINAPATIKANA Kwenye List kwa ajili ya Kocha Luis Enrique kabla ya mechi kubwa zaidi ya msimu huu. ๐๐
29/05/2026
๐จ Ndoa ya Pyaramid na Fiston Kalala Mayele (31) imefika mwisho.
Mayele anaondoka Pyramid,k**a mchezaji huru baada ya miaka mitatu.
Mkataba wake na Pyramid utamalizika tarehe 30/06/2026 na amegoma kuongeza mpya.
Mayele anaelekea Saudi Arabia kucheza ligi moja na CR7 na tayari amesaini miaka miwili na klabu moja wapo ya (RSL).
Mayele anaondoka Pyramid akiwa na vikombe vinne๐
CAF Champions League ๐ฅ
CAF Super Cup๐ฅ
FIFA Intercontinental Cup๐ฅ
Egypt Cup๐ฅ
๐๐๐
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
๐๐๐
CAF Champions League Top scorerโ
African Inter-Club Player of the Yearโ
FIFA Intercontinental Cup Top Scorerโ
Inasemekana Itโs Over Kati ya Pyaramid na Mayele
29/05/2026
๐ฃใฝ๏ธ ๐๐ธ๐๐ผ๐๐: Atlรฉtico Madrid wanaonyesha nia ya kumsajili Tijjani Reijnders! Mawasiliano yanaendelea kuhusiana na hali ya kiungo huyo. ๐ณ๐ฑ๐ช๐ธ
Atlรฉtico kwa sasa inachunguza uwezekano wa hatua hiyo, ingawa wanajua kabisa kuwa itakuwa ni operesheni ngumu kuikamilisha. โณ
Source::RadioMARCA
FOLLOW US
29/05/2026
๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Paris Saint Germain imetoa ofa ya โฌ120m kwa Atletico de Madrid pamoja na Wachezaje wake wawili k**a sehemu ya kumsajili mshambuliaji wao Julian Alvarez. ๐ฆ๐ท ๐.
Paris Saint Germain imesema itampa Alvarez mshahara sawa na Ousmane Dembele wa โฌ22m kwa mwaka k**a atakubali๐ฐ๐ฃ
29/05/2026
๐จ Pep Guardiola alichagua kumsajili Kalvin Phillips badala ya Declan Rice mwaka wa 2022 kwa sababu aliamini kuwa kiungo huyo wa Leeds alikuwa na uwezo mzuri wa kupiga pasi na alikuwa bora katika kuusoma mchezo. ๐
Ilionekana kuwa moja ya makosa ya nadra ya uhamisho wa Guardiola, na Man City baadaye walijaribu kuteka nyara uhamisho wa Arsenal kwa Rice. โ
Kufikia wakati huo, hata hivyo, Mikel Arteta alikuwa tayari amemshawishi Rice kwamba Emirates ndiyo PEKEE anayotaka. โค๏ธ
Source: JBurtTelegraph