Budu B sport newz 24 hrz

Budu B sport newz 24 hrz

Share

sports anlysis and updates

28/05/2020

BREAKING NEWZ
Ligi kuu nchini Italy maarufu k**a Serie A kurudi jumamosi ya tarehe 20 June 2020 .
Soka linaelekea kurudi barani ulaya👈

Budu B sport newz 24 hrz

28/05/2020

BREAKING NEWZ
Premier league kurudi Jumatano tarehe 17 June 2020 .
source Goal.com
Budu B sport newz 24 hrz

16/05/2020

Mechi imemalizika hivo
Dortmund wametoka kifua mbele dhidi ya Schalke 04 mabao yakifungwa(Halland⚽,Guerero⚽⚽,Hazard⚽)

16/05/2020

Erling Halaaaaaaaaaaand Goaaallllll
min 29
Dortmund 1 schalke 0

16/05/2020

Ligi kuu ya nchini Ujerumani maarufu k**a BUNDESLIGA kuendelea leo baada ya kusimamishwa takribani mwezi mmoja .

15/05/2020

Back in Business

support yako muhimu

17/03/2020

Mashindano ya Euro 2020 yamesogezwa mbele mpaka June 2021ili kuepusha kusambaa kwa virusi vya Corona.
😥😥😥 Mungu tuepushe na janga hili 🙏🙏🙏

13/03/2020

jinsi corona ilivoharibu furaha yetu wana michezo huu mwaka umeanza vibaya 😥😥😥💔💔 mungu tuepushe na janga hili.

13/03/2020

Maneno ya kocha wa wolves "Nuno" kuhusu Corona.

13/03/2020

BREAKING NEWZ
Beki wa Manchester City Benjamin Mendy Yuko katika uangalizi binafsi baada ya mtu mmoja katika familia yake kukutwa na virusi vya Corona. Mungu tunusuru na janga hili 🤲🤲🤲.
source (sky sport).

Photos from Budu B sport newz 24 hrz's post 13/03/2020

BREAKING NEWZ
kocha wa Arsenal Mikel Arteta na mchezaji wa Chelsea Hudson Odoi wamekutwa na virusi vya covid-19,ndo wanakua wanamichezo wa kwanza kukutwa na virusi hivo nchini Uingereza,kuna uwezekano wa ligi ya Uingereza kusimamishwa.
Mungu tuepushe na janga hili

12/03/2020

Yanga wakubali kichapo cha bao moja kutoka kwa vijana wa Kinondoni KMC ikumbukwe yanga wametoka kumpiga Simba jumapili ilopita"wanachukua point kwa matajiri wanagawa kwa maskini" ushujaa wa yanga huo

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in London?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


London