Kimatuni United Football Club.

Kimatuni United Football Club.

Share

We nurture football talents! Self sponsorship! Welcome!

23/09/2022

FEASSSA SOCCER RANKING 2022
BOYS SECONDARY:
1.Kibuli(UG)
2.Highway(KE)
3.St. Mary's Kitende(UG)
4.Buddo(UG)
5.St. Andrews (UG)
6.Katoro (TZ)
7.Ebwali(KE)
8.Kiwira(TZ)
9.ES Gasiza(RW)
10.Trust St. Patrick (TZ)

GIRLS SECONDARY;
1.St. Noa(UG)
2.Wiyeta(KE)
3.Kawempe Muslim(UG)
4.Dagoretti(KE)
5.Amus(UG)
6.Alliance(TZ)
7.Isevya(TZ)
8.Sacred(TZ)
9.IP Mukarange (RW)
Congratulations to Kenyan teams!!!

17/09/2022

We lost 3:2 to Masuno FC.
Scores;
1. Philip.
2. E. Wafula.
Congratulations to both teams!!
# KUFC!!

17/09/2022

Another exhibition match is loading!!
We're heading to Masuno playing ground @ 2PM !
# Masuno FC vs Kimatuni United FC.
We're still unbeaten to Masuno FC as far as our history is concern. We've a winning percentage of about 95% but we don't underrate them, it's football and anything can happen.
Our predicted lineup is here!
1. C. Wasike. (GK)
2. M. Wamuteke. (RB)
3. E. Wanjusi. (LB)
4. F. Nyongesa. (CB)
5. E. Juma. (CB)
6. D. Simiyu. (CDM)
7. M. Simiyu. (RW)
8. H. Wanjala. ( RCM)
9. P. Wabwire. (CF)
10. E. Wafula. (LCM)
11. N. Wabwire. (LW)
Substitution.
1. F. Makokha. (CB)
2. P. Oduor. (LW)
3. H. Simiyu (CM)
4. L. Wanjala. (CAM)
5. S. Wabwire. (LB)
6. A. Wafula. (CF)
7. I. Malaba. (CDM)
8. M. Barasa. (CB)
All the best team!
United FC.
!

16/09/2022

Full-time:
Kimatuni United 3:1 Namalenge FC.
Scores;
1. Edwin Wanjusi.
2. Mark Simiyu.
3. Francis Nyongesa.
Congratulations Boyz!!
# Kimatuni United FC.
# Soka !!

11/09/2022

Full-time!
Kimatuni FC 2:2 Kimatuni Utd.
Scorers;
E. Wafula.
Haron Wanjala.
Congratulations team!!

08/07/2022

Jumapili hii ya tarehe 10/07/2022 tumealikwa kwenye kinyang'anyiro cha mchezo wa kambumbu # Wapopa Soccer Cup. Hii ni awamu ya tano ya shindano hili ambalo lilizinduliwa Agosti 2020.
Tuliwaelezea hapo awali kuwa vilabu zote kutoka wadi ya South Bukusu zitaungana kulingana na maeneo ambako zinatoka ili tupate timu nne za kushiriki.
Baada ya kuungana tutatumia majina haya kwenye usajili.
1. Tabuti FC.
2. Kibachenje FC.
3. Kimatuni United.
4. Lumboka FC.
Kulingana na mdhamini wa mitanange hizi bwana Silas Wapopa, timu zote nne zitapata zawadi k**a ilivyo desturi.
ZAWADI.
1. Ksh. 20,000
2. Ksh. 10,000
3. Ksh. 7,000
4. Ksh. 5,000
Tunaomba timu zote zianze kujiandaa vyema na tuzingatie sheria za shirikisho la soka duniani siku ya mchezo. Kila mmoja anapaswa kufika kwenye uwanja saa moja unusu asubuhi.
Mashindano haya yameratibiwa kwenye uwanja wa shule ya msingi ya Lumboka.

Ikiwa kuna mwanasiasa yeyote angependa kuwa nasi siku hiyo aje auze sera zake kwa njia inayostahili na tudumishe amani tusilete vurugu zozote.
Tunaomba wakaaji wote wa South Bukusu watokezee siku hiyo kwa madhumuni ya kushangilia timu zao.
Kufikia hapo sina la ziada ila kukutakia wikiendi bomba mbeleni. Tusambaze ujumbe!!
# Wapopa Cup!
# 5th Edition!
# South Bukusu Ward!
# Khupa khucheee!!!

06/07/2022

Full-time Results!
Kimatuni Utd 2:1 Musiya FC
13' ⚽ Caleb
37' ⚽ Abu!
64' ⚽ Musiya !
Congratulations guys!
Up next: Quarter Final!💪

Photos from Kimatuni United Football Club.'s post 01/07/2022

Ukulima ni nguzo yetu !!

19/06/2022

😂😂😂 Historia imesalia! Mchezo wetu dhidi ya Nasyanda FC umeishia sare tasa ( 0:0) baada ya dakika 90. Licha ya asimilia kubwa ya kikosi chetu kuwa ya vijana chipukizi tulionyesha mchezo mzuri.
Mechi ya pili itakuwa tarehe 5/7/2022 dhidi ya Mabusi FC . Takriban vilabu 18 zinashiriki kwenye ligi hii.
United FC.
ya ligi!
.

21/04/2022

Jumapili hii tarehe 24/04/2022 kutakuwa na shindano la soka awamu ya nne ya Wapopa Super Cup.
Itakuwa ni kivumbi kati ya vilabu nne kutoka wadi ya Bukusu Kusini. Hizi ni :
1. Kimatuni United FC
2. Mateka FC
3. Lumboka United FC
4. Kibachenje FC.
Kwenye awamu ya tatu klabu ya Lumboka iliibuka mshindi baada ya kuwafunga Kibachenje FC 4:3 kupitia mikwaju za matuta. Kibachenje walimaliza nafasi ya pili huku Mateka FC na Kimatuni United kumaliza nafasi za tatu na nne mtawalia.
Mechi zimeratibiwa kung'oa nanga saa tatu asubuhi kwenye uga wa shule ya msingi ya mtakatifu Anthony Mateka.
Mshindi wa kombe hili atapata tuzo ya shilingi elfu ishirini na elfu kumi, elfu saba na elfu tatu kwa nafasi za pili, tatu na nne mtawalia. Vilabu ambazo zitashiriki mfanye maandalizi yenu mapema.
Kombe hili limedhaminiwa na bwana Silas Wapopa!
# Kongole sana bwana Wapopa!!
# Wapopa Super Challenge cup!!

20/04/2022

Kimatuni ni Soka tu! 🏆
Ijumaa hii, 22/04/2022 tumeandaa michuano za ligi baina ya timu nne!
1. Kimatuni United.
2. Sikinga FC.
3. Kimatuni S.A FC
4. Masuno FC.
Michuano hizi zitang'oa nanga saa tatu asubuhi na kuisha saa kumi na mbili jioni.
Timu zote zitakutana na kila mechi itachezwa angalau dakika sitini.
Ikiwa timu itachelewa kufika kulingana na wakati uliowekwa nafasi yao itachukuliwa na klabu ingine!
# Soka challenge! ⚽
# Acha katambe! 💪

04/04/2022

Draw ya semi finali ya michuano za Munye Super Cup ilifanyika leo jioni saa kumi na mbili ugani Kimatuni.

Kwenye kundi A , Lunakwe FC na Namalenge FC walifuzu kwenye hatua hiyo baada ya kumaliza katika nafasi ya kwanza na ya pili mtawalia. Kundi B iliongozwa na Kimatuni Jeshi la uokovu (S.A) na Kimatuni United kumaliza nafasi ya pili na kufuzu kucheza semi fainali.

Semi finali ya kwanza itakuwa kivumbi baina ya vilabu kutoka wadi ya Bukusu Kusini (South Bukusu). Itakuwa kati ya Lunakwe FC dhidi ya Kimatuni United na itachezwa jumamosi hii (9/04/2022) saa tisa alasiri.

Semi fainali ya pili itakuwa kati ya Kimatuni Jeshi la Uokovu kutoka wadi ya Bumula dhidi ya Namalenge FC kutoka wadi ya Matungu kaunti ya Kakamega. Mechi hii itakuwa Jumapili ya tarehe, 10/04/2022 saa tisa alasiri.

Ili kupata taarifa na matokeo ya michuano hizi tembelea kikundi chetu cha facebook na Twitter @ Kimatuni United Football Club.
sports News!
# United Football Club!

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Bungoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


P. O Box, 108
Bungoma