Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Jamjeck Wachira, Kui Beutygal, Muhia Muthoni, Henry Irungu, Waithira Hadad, Roseline Gitahi, Peter Criz
NGUTU YOUNG STARS FC
Young Stars club is a football club located at Ngutu Sub-Location,Nyakianga Location, Mathioya Sub-co
Mathioya Super tournament by Dkt EDWIN Mugo Gichuki..
3-2 on penalties ....We match on to the Semis Finals
FCπ₯π₯
Other Results
Nyangiti FC 2-1 Kanjahi FC
Storm FC 0-0 Chui FC (3-1) Penalties
12/02/2024
Majirani wetu wadogo Karung'e FC waliteleza k**a walevi chakariπππmwisho wa siku Kilio cha kugunaguna k**a mwifi alinaswa na umati mwenye hamaki za mkizi
11/02/2024
Form Iko pale Ngutu mida ya saa kumi. Derby ya Kijijiπ₯π₯π₯. Watawezana ama matokeo tuko nayo tayari ππ.... We shall be there no matter what
20/01/2023
Hapo Jumapili tarehe ishirini na mbili Ugani Ngutu;Timu ya Wolves almaarufu k**a Nyathiru kutoka Kangema watamenyana na Vijana wa Ngutu Young Stars mida ya Saa Kumi alasiri.
Njooni nyote tuburudike pamoja πͺπͺπͺβ½β½β½.
30/10/2021
Hali si hali Jamani πππbaada ya kuvuruga mechi, kutafuta talent far and wide, Tutangulia Kutongoza mrembo mwishowe Vijana wapole wapenda amani wanatoka nyuma na Kuenda na Mtoto wa watu nyumbani πππππFull Time Ngutu Young Stars 3-2 Chui Beba beba pwaaaaaπ₯π₯π₯ππππ.... It's Officially Home where it belongs π₯π₯β½β½β½πππ... Sub County final here we come
young Stars hoyeee
18/10/2021
Team Ngutu Young Stars in Action in the just concluded Anthony Maina wa Maai Gitugi Ward finals. The final was played between chui and Ngutu Stars at gitugi finished 0-0 at regular time and Went to penalties only for Chui team and fans to disrupt the Shooting when they went down 3-1 with Two spot kicks to go for both sides. Total Hooliganism witnessed but we hope the decision that would be made will follow the rules of the game and Justice is done to us... We keep going on the Sub-county finals π₯π₯π₯
young Stars hoyeee
Maina wa Maai Check
08/10/2021
Hatimaye baada ya Ngoja ngoja ya Miezi Miwili sasa ni Rasmi kwamba Fainali za dimba la Mheshimiwa Anthony Maina wa Maai zitang'oa nanga jumapili Ijayo tarehe 17 mwezi huu wa Oktoba 2021. Ambapo Ngutu Young Stars FC watatitinga na Chui FC fainali huku mechi ya kutafuta mshindi wa nafasi ya tatu na nne mtawalia itakuwa kati ya Kambara FC vs Dream FC. Njoo tushangilie vijana wetu pamoja,Mihemko na Madaha yote uwanjani Utaipata kenye kenye naye Mtangazaji Samito_Mwanaspoti01. Kosa uchekwe
03/06/2021
Imekwisha Anza, ni kubwa na yavutia. Wasaa wa Vijana kuonyesha talanta zao, azimio kuu likiwa kukuza talanta mashinani eneo Bunge la Mathioya
Twende Grao
Tournamentπͺπͺ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kangema
Murang'a