GAEL MEDIA

GAEL MEDIA

Share

BREAKING NEWS||24HR TIMELY UPDATES ||
>POLITICAL ARENA €INFORM YOU ||

06/04/2024

Maafisa wa Polisi katika eneo Bunge la Navakholo Kaunti ya Kakamega wanamzuilia mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 31 ambaye anaishi na virusi vya UKIMWI, kwa tuhuma za kumbaka mwanawe wa miaka tisa na kisha kutupa mwili wake kwenye lango kuu la kuingia kwa boma la babake.

Babake mshukiwa, Henry Masinde, na mamake, Lidya Wawire, wanadai kuwa mshukiwa Martin Sifuna Wafula anadaiwa kumfukuza mkewe nyakati za usiku kwa madai kuwa alikuwa amemnyima haki yake ya ndoa kabla ya kumgeukia mwana wake wa miaka tisa, mwanafunzi wa darasa la pili, na kisha kumuua kinyama.

OCPD wa Navakholo, Richard Omanga, amehoji kuwa mshukiwa anaendelea kuzuiliwa akitarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika.

06/04/2024

Two people have been confirmed dead and more than 10 people seriously injured after the bus they were traveling with from Western Kenya to Nairobi rammed a stationed fuel truck in Muguga area in Kikuyu along James Gichuru Rironi highway.

Confirming the incident Kikuyu Sub County Police Commander Ronald Kirui called upon all road users to be vigilant as the Country is expected to receive long rain season as focused by the weatherman.

The remains of the two people were taken to Thogoto hospital mortuary while they wreckage of the two vehicles towed to Kikuyu Police Station

05/04/2024

Haile Selassie Avenue and Parliament Road are temporarily closed until 5am for the installation of service ducts. KeNHA advises Motorists to use alternative routes and cooperate with authorities on site.

05/04/2024

*Public Interest*

The DCI Serious Crime Unit is currently seeking a suspect, whose photo is attached, in connection with a case involving Impersonation and Unauthorized access to a computer system reported at *Parklands Police Station*.

A warrant of arrest has been issued for the suspect, who was released on police cash bail on *December 19, 2023*, pending the completion of investigations but failed to comply with the set reporting date.

The suspect is believed to have hacked a mobile money app, resulting in significant financial losses, before going into hiding.

If you have any information that may aid in the suspect's arrest, please contact DCI by *dialing 0800 722 203 or report to any police officer or station*.

_SGAsecurity*

22/03/2024
19/03/2024

https://youtu.be/z96KilvXB84
Zaidi ya watoto 30 wanasemekana kutoweka kuanzia January mwaka huu jambo ambalo lime zua wasiwasi miongoni mwa wakaazi wa mtaa wa langas kaunti ya uasingishu, kulingana wa wazazi wa wanawao wasichana wenye umri wa mwaka mmoja Hadi tisa wa hadaiwa wa watu wasio julikana na Kisha kutoweka na Hawa julikani wanako enda, hatua ya wazazi kupinga ripoti katika kituo Cha polisi Cha langas hazija fua fafu walisema kua baadhi ya maafisa Wana wanyanyasa wazazi hao. Naibu wa jamashina eneo Hilo ame sema polisi wame anzisha uchunguzi na kuwataka wale ambao wanawao wame potea kuandihs ataarifa katika kituo Cha polisi.

Photos from GAEL MEDIA's post 16/03/2024

BREAKING NEWS
Kapsabet Boys High School Bus involved in an accident at Patkawanin on Kabarnet - Marigat highway. So tragic.
More details to follow

14/03/2024

Familia ya Kenga katsustu aliyeuliwa wiki tatu zilizopita kwa kukatwa panga na wahalifu katika eneo la Bodoi kaunti ya Kilifi inalilia haki baada ya kesi hio kuchukuwa muda mrefu pasi kupata muelekeo.

Familia walifika katika kituo cha polisi cha mtwapa kujuwa mwelekeo wa kesi hio baada ya upasuaji wa mwili wa marehemu kuchukuwa muda kufanyiwa ilikubaini chanzo cha kifo chake.

Wakiongozwa na Katana mganga wameitaka serikali kuingilia kati na kuhakikisha haki inapatikana.

Idara ya upelezi kwa upande wake imedinda kutoa taarifa yoyote kuhusu kesi hiyo na kuwafukuza wanahabari katika afisi hizo waliofika kujuwa kuhusu kesi hio.

Kwa sasa familia hio inaitaka idara ya upelelezi kufanya wawezavyo iliwafikishe mahakamani washukiwa na hatimaye familia hiyo kupata haki ya mpendwa wao.

12/03/2024

Maafisa wa polisi kutoka kikuyu wamefanikiwa kumpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja huku wengine watano wakifanikiwa kutoroka na majeraha ya risasi usiku wa kuamkia leo,katika kijiji cha Regen eneo bunge la kikuyu kaunti ya Kiambu.

Kulingana na mpangaji mwathiriwa pamoja na mhifadhi wa ploti ambako uhalifu huu ulitendeka wanaelezea walivyo vamiwa , wahalifu hawa wakiingia nyumbani kwake, na kumlazimisha kuwapatia mali yake ila kwa bahati nasibu, maafisa wa usalama waliwasili na kukabiliana na wahalifu hao , wakiweza kumuua mshukiwa mmoja huku wengine watano wakivinja paa la nyumba hiyo na kuweza kutoroka.

10/03/2024

Not long ago, indigenous and rural women in pastoral areas faced tremendous barriers as they sought opportunities that would set them on an equal footing with men.

Inequality between women and men was widely apparent but it is now a new dawn for indigenous and rural women who have changed fortunes after being empowered economically, acquired skills, opportunities with tools to get themselves out of extreme poverty.

But many women in West Pokot County who were vulnerable now have made significant strides by beating the poverty trap, hence accessing resources and uplifting their living standards.

Many have a reason to smile as they have turned into entrepreneurs engaging in beadwork and tree planting initiatives as alternative means of survival.

The women who have formed groups are using beads to make decorative products as an income generating activity to fight high poverty levels and peace building in the region.

Bead making has been a traditional activity in the Pokot community with no significant economic benefits but now it is ending poverty and promoting sustainable economic growth among women in the region.

Monica Silinyang a rural woman from the Batei area says they are in darkness but now they have been empowered after enduring suffering for a long time.

https://youtu.be/HOqymo-MiKU

09/03/2024

DCI's anti-narcotic and operations support units have intercepted 67 bales of bhang at makutano along mwea-embu highway in kirinyaga worth over ksh 10.5 million

The team from Nairobi said they managed to arrest two suspects through their network operation.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Nairobi?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


00100
Nairobi
00100