Reahny daniel

Reahny daniel

Share

This page is for sports event

26/07/2023

Mwanzoni kabisa Wakati Tetesi Zinatoka Simba Kuwa Sakho Anahitajika huko UGAIBUNI Simba Waliamua Kuliamsha Upya Dili la Luis Jose Miquissone.

Kumbuka Sakho Ameuzwa Kiasi Cha Bilioni Mbili Na point Moja (2.1TSH)

Kwa Hesabu Ya Kawaida Hapa Mshahara Wa Luis Ni Milioni thelalthini na Nne (34MTSH) Kwa Mwezi.

Kwa Miaka MATATU aliye Saini Huyu Mwamba Atakuwa Amelipwa Kiasi cha TSH Bilioni Moja Points kadhaa.

Hivyo Luis ANAISHI na Fedha Za Mauzo Ya Papeh Osman Sakho Ambaye Ametimkia Ufaransa. Biashara Ni Akili

26/07/2023

... 🎌🚨 BREAKING!

🚨 Bosi wa Singida Fountain Gate (SFG), Japhet Makau amesema usajili wa Benard Morrison ni suala la muda tu na mashabiki wakae kwa kutulia kwani mambo mazuri yanakuja zaidi msimu huu.

Morrison tayari amemalizana na Singida FG kwa ajili ya kuitumikia msimu ujao wa Ligi Kuu na CAFCC.Makau alisema kuwa; β€œIshu ya Morrison tusubiri Agosti 2, ambapo tutatambulisha kikosi chetu. Sisi tuna imani nae na atafanya vizuri na atacheza kwa jinsi ambavyo kocha atamtumia, naamini wachezaji tuliowasajili wanaenda kufanya vizuri kwenye timu yetu.”

26/07/2023

Jana Leo Messi amecheza mchezo wake wa pili na timu yake mpya na kufunga magoli mawili na assist moja.

Goli la kwanza la Messi assist ilitoka kwa BABU, Sergio Busquets.

08β€™β€”βš½οΈ Lionel Messi
22β€™β€”βš½οΈ Lionel Messi
53β€™β€”πŸŽ― Lionel Messi

FT: INTER MIAMI 4-0 ATLANTA UNITED

Ikiwa ni Mechi mbili tu, tayari ameshafunga goli tatu na assist moja.

THE GOAT THIGS 🐐

05/06/2023

tangu atue Young Africans makipa wazawa wa Tanzania wamekuwa wakijifunza kitu kutoka kwa Djigui Diarra πŸ™Œ

Haya sasa tumesha tua Tanzania . .naauliza tu kati ya mama na mbeya CITY kipi bora πŸ˜πŸ”°πŸ”₯

05/06/2023

"...Mwaka jana nilikosa kiatu cha Ligi mwaka huu nimechukua cha CAF, Mungu ana mipango yake najipongeza kwa sababu k**a unafanya kazi na una malengo yako unahitaji kufika hatua fulani na umefanikiwa ni jambo kubwa."

"Mpira wa Afrika ukiangalia mchezaji anakiwango kizuri miaka miwili sio rahisi, kuna vitu unatakiwa kufanya na vingine usifanye ili uwe una perform vizuri, ni msimu mzuri sana nikichukua kiatu cha Ligi ya Tanzania utakuwa msimu bora tangu nimeanza mpira.”

πŸ”Ž Fiston Mayele

05/06/2023

OFFICIAL 🚨

✍️ Rais wa klabu ya Yanga SC Eng Hersi Said amethibitisha kuwa beki Mtanzania Ibrahim Bacca ameongeza nyongeza ya mkataba wake na Uongozi umemongezea mshahara mkubwa

Awali Ibrahim Baca alisaini mkataba wa miaka mitatu hadi January 2025 ameongeza tena,🚨.

05/06/2023

Real Madrid imeachana na wachezaji 4.

βœ… Marco Asensio
βœ… Mariano Diaz
βœ… Eden Hazard
βœ… Karim Benzema

09/04/2023

R I.P Mr ahoufe 😭😭

11/06/2021

Dj kaingia mzigoni hakuliki kihivihivi ,πŸ™„πŸ™„πŸ™„kuendeshana ndoa mwendo

25/11/2020

Kapooza katisha

25/11/2020

Ety ni uchawi au

25/11/2020

Mmh k**a jeshi ndo hvyo bora nirudie road

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address


Arusha