ZA MOTO Sports

ZA MOTO Sports

Share

JUMBA LA MICHEZO Follow page na share yetu upate taarifa za kimichezo na uchambuzi

14/05/2026

Baada ya kushinda ubingwa wa ligi kuu Rwanda wamerejea nchini kwao.

Hivi ndivyo klabu ya Al Hilal ilitembelea uwanja wake wa nyumbani baada ya kumaliza ligi kuu ya Rwanda waliyokuwa wakishiriki msimu huu na kuwa mabingwa wa ligi hiyo.

14/05/2026

Baadhi ya vilabu vilivyofungiwa na Fifa kusajili barani Africa.

πŸ‡ͺπŸ‡¬ Zamalek SC
πŸ‡©πŸ‡Ώ ES SΓ©tif
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Pamba Jiji FC
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Young Africans SC
πŸ‡±πŸ‡Ύ Al Ittihad SC
πŸ‡§πŸ‡Ό Sua Flamingoes FC
πŸ‡²πŸ‡¦ Olympic Club de Safi
πŸ‡²πŸ‡¦ Wydad AC

14/05/2026

Wengi wanafurahishwa na urejeo wa The special one Jose Mourinho pale Real Madrid, makocha na wachezaji wa zamani wameelezea juu ya matumaini yao mazuri kwa Jose Mourinho kuisuka upya Madrid.

Jana Perez aliandika kuwa k**a waliweza kufanya sajili bora akiwataja Figo, Ronaldo, na Beckham wakafanya vizuri pale. Awamu ya pili akawasajili Kaka, Ronaldo na Benzema na wakaja kufanya vizuri kanini ashindwe kufanya hivyo tena?.

Ni wazi Perez anaamini ndani ya kile alichowahi kukifanya kinaishi na anaweza kuijenga Madrid hatari k**a ya siku za nyuma.

Je wewe unaamini kurejea kwa Mourinho ndani ya Madrid itakuwa mwanzo wa Madrid kurudisha makali yake?

Leonard gaba ✍🏾

13/05/2026

"Hatujafurahishwa, tumekosa nafasi nyingi hasa kipindi cha pili tulikuwa na nafasi ya sisi kuongeza zaidi ya mabao mawili mengine, hatuna sababu yoyote ya kujitetea zaidi tusonge mbele kwa ajili ya mechi zijazo."

πŸ—£οΈAbdi Hamid Moallin kocha mkuu wa Yanga SC.

13/05/2026

MKAKATI WA KUWAZUIA βœ…

K**a siku ngumu kwa upande wa Yanga ni leo kwanza game waliisusa mapema mno baada ya Mwamnyeto kujifunga bao. Dube amecheza k**a timu ilikuwa mazoezini mwisho wa siku wachezaji wanashutuka wapo kwenye mchezo wa ligi kuu tena mchezo unaohitaji alama 3.

Dodoma jiji alikuwa Simba mwenda pole leo akaifata kanuni ya huruma siyo malezi wakaelewa wapinzani wamepotea kipa na beki zake hawana uwepo mchezoni wakaiua game kilahisi sana tena sana.

Maumivu kwa wananchi ni ya pande mbili kwanza unapoteza mchezo wa kwanza katika ligi ambapo unbeaten inazuiliwa pili gap linaweza kupungua ikiwa mpinzani atashinda kesho na kubaki alama 2 πŸ₯΄.

Dodoma jiji wanachukua points 4 nyumbani kutoka kwa Simba na YangaπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ”₯.

Leonard gaba ✍🏾

13/05/2026

LABDA CARDOSO AMEPIGA HESABU ZA JUU.

Ni wazi jana Mamelod Sundown wamepoteza nafasi ya kuwa mabingwa wa Betway Premiership baada ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Ts Galaxy. Baada ya mchezo mashabiki wa Mamelod Sundown walitoa hisia zao wakitaja kutofurahishwa na uwezo wa Miguel Cardoso.

Maisha ya soka yalivyo ya kushangaza mashabiki wa Mamelod Sundown walikuwa na imani kubwa na Cardoso wakati wanamchukua kutoka Esperance de Tunis baada ya muda mfupi mambo yamebadilika.

Mawazo yangu nahisi Cardoso ameutazama zaidi ubingwa wa klabu bingwa Africa kuliko ubingwa wa ndani mara ya mwisho Mamelod Sundown kubeba ubingwa wa klabu bingwa Africa ilikuwa 2016.

Ikumbukwe aliyechukua nafasi ya Cardoso pale Esperance amekwisha timuliwa baada ya kupoteza ubingwa wa ligi ambaye ni Patrice Beumele Yanga wanamkumbuka sana huyu. Je k**a Cardoso ataifanikisha Sundown kunyakua taji walilo likosa miaka karibia miaka kumi watamtimua kwa kukosa ligi?.

Leonard gaba ✍🏾

13/05/2026

ORUMA AWAITA YANGA WAJINGA WAJINGA

"Sasa hivi sio tu Kwenda Jumba la Maaajabu hata wakivalia Kwenye Korido za Maajabu TFF na TPLB chukueni Millioni 30 hizo za watu wajinga wajinga

Note; Anyways nipo zangu Bize natazama Bao la Maajabu la Chama K**a Chakula cha Usiku. Ni K**a Dozi,asubuhi Mchana na Jioni."

✍️ Ameandika Wilson Oruma

12/05/2026

🚨 Vinicius Jr believes JosΓ© Mourinho's arrival on the Real Madrid bench would be a π†πŽπŽπƒ π“π‡πˆππ†.

He thinks the Portuguese manager would get the team working collectively, El Chiringuito report. 🀍

Fabrizio ✍🏾

12/05/2026

KAMPANY NA RECORD YAKE.

Jumapili ya wiki hii klabu ya Bayern Munich itasherehekea ubingwa wao walioubeba msimu wa ligi kuu Bundesliga 2025/26. Bayern chini ya kocha Vicent Kampany ameweka record ya kihistoria kwa kuchukua ubingwa akiwa amefunga magoli mengi zaidi.

Vicent Kampany ameivunja record ya kocha Hans Flick aliyebeba ubingwa wa Bundesliga na kikosi cha Bayern Munich msimu 2019/20 akifunga jumla ya magoli 100. Msimu huu Kampany ameiwezesha klabu hiyo kufunga mabao 117 ikiwa bado mchezo mmoja kutamatisha ligi hiyo.

Leonard gaba ✍🏾.
fans

12/05/2026

Hawa Usm Alger huwa wana hesabu kali sana kucheza kimataifa mpaka hapo nafasi waliyopo lakini wameshapa ticket ya kucheza kombe la shirikisho.

12/05/2026

Jamaa kajiona LULU baada ya Real Madrid kuwa serious nae, amewapa vigezo ambavyo akina Fernando Fernandez, Eduado Fernandez ,Pedro Lopez na Jose Martinez watakaa pembeni kumshauri Perez.

Hataki kupagiwa mchezaji wa kusajili sijui majina makubwa hiyo sio ishu yake.

Hataki kuingiliwa ki maamzi k**a kupanga mikakati ya timu hilo atalisimamia yeye na anasema kazi ya mchezaji ni uwanjani hataki ushauri kutoka kwa mchezaji 🀣🀣

Hapa Madrid itanyooka utoto ulizidi vijana walimuona Perez babu

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Arusha