Vision community development

Vision community development

Share

Vision community development is registered non government organization interested in supporting stude

05/07/2016

eid mubarack wapenzi wetu,tunapenda kuwatakia kila la kher ktk msimu huu wa sikukuu,mpate sherehekea kwa utulivu na amani.

21/04/2016

hellow tanzaniaa

02/04/2016

hellow tanzania,mmeamka salama?

14/11/2015

how are you......brothers and sisters

08/08/2015

heloow how are you mupooo.........

13/05/2015

kuwa wa kwanza ku like page yetu

13/05/2015

Michezo ni sehemu muhimu sana katika utamaduni wa kila jamii ya binadamu duniani kote. Kila kipindi cha historia ya binadamu kinaonyesha jinsi binadamu alicyobuni na kuendeleza michezo kulingana na mazingira yake ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. Kutokana na mabadiliko ya mazingira hayo michezo iliyochezwa na jamii ilikuwa inabadilika mara kwa mara. Baadhi ya mabadiliko hayo ni pamoja na hali ya mchezo, sheria na kanuni ili kukidhi mabadiliko hayo.
Tanzania k**a jamii tulikuwa tukishiriki katika michezo mbalimbali katika kabila zetu. Tulishiriki katika michezo ya mieleka, kutupa mkuki, kulenga shabaha kwa upinde na michale, sarakasi, kukimbia, kuruka, kuogelea, kucheza bao n.k.
Madhumuni ya michezo hii yalikuwa ni:-
i) Kutoa burudani kwa jamii baada ya kazi;
ii) Kujenga na kukomaza afya ya mwili na akili;
iii) Kujenga ukak**avu, nidhamu na uwezo wa kujihami kwa mtu binafsi na kwa jamii;
iv) Kuonyesha uwezo na vipaji vya washiriki na kutangaza hulka ya jamii kwa jamii nyingine;
v) Kuwa kiungo baina ya jamii mbalimbali;
vi) Kukuza na kuendeleza uhusiano wa kirafiki baina ya jamii mbalimbali.
Katika mazingira ya kikabila k**a yalivyokuwa katika jamii nyingi, Kanuni za mfumo wa kikabila zilitawala uendeshaji wa shughuli za michezo.
Kuingia kwa wageni na wakoloni nchini mwetu kuliambatana na kuingizwa kwa michezo ya kigeni k**a Mpira wa miguu, Hoki, Ndondi, n.k. Mchezo wa Riadha ambao ulikuwa ukichezwa katika jamii zetu nyingi kabla ya ujio wa wageni hawa, uliletwa katika sura mpya ya kisasa na inayotambulika Kimataifa, Kadri nchi yetu ilivyozidi kuingia katika ulingo wa Kimataifa ndivyo michezo mingi zaidi ilivyoingia nchini na kuimarika. Michezo k**a Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Mpira wa Wavu, Tennis, Mpira wa Meza, Mpira wa Mikono, Kriketi, Golf, Baiskeli na kadhalika, kila mmoja uliweza kujipatia umaaarufu kulingana na wakati.
Pamoja na kwamba michezo ya kigeni ilisaidia sana kufanya

Untitled album 24/01/2015

UZUNGUNI STADIUM

24/01/2015

TUNA KARIBISHA WADAU WOTE WA MICHEZO NDANI YA ACADEMY KWA MCHANGO WOWOTE,KIMAWAZO,AMA KWA CHOCHOTE KILE.

24/01/2015

TESTIMONY YA WAKARIBISHA KWA MAZOEZI YA JION BAADA YA KAZI.

24/01/2015

GOOD NIGHT BROTHERS AND SISTERS LET HAVE RELAXING AFTER THE DAY

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Uzunguni Steet
Arusha