29/11/2019
KARIBUNI SANAA WANDUGU ZIMEBAKI SIKU CHACHE MASHINDANO KUANZIA KUTIMUA VUMBI JIJINI ARUSHA WEWE K**A KIONGOZI,MCHEZAJI NA MDAU WA SOKA UNAKARIBISHWA SANA KATIKA MASHINDANO HAYA YA VIJANA WETU WENYE UMRI WA MIAKA 13 HADI 17
29/10/2018
TUKUTANE CHIPKIZI CUP 2018december
14/10/2018
TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUTUJALIA USHINDI SIKU YA JANA TUKIWA TUMEVAANA NA TANZANITE U17 USHINDI WA BAO 3-0 IKIWA NI KWENYE UWANJA WAO WA NYUMBANI..
MPIRA KWETU NI KILA KITU ..
09/10/2018
It's all about memory
EAST AFRICAN CUP 2017
05/09/2018
NDO SISI LAKINI WATAALAM WANAKUAMBIA ENZI IZO WAPINZANI WALIPATA TABU SANA.
31/05/2018
Shady Da Kenny Khym akiw anafany yak juz mazoezin katk viwanj vya kalolen kujiandaa vyem na mashindan yaliyok mbele ye2 ya june28
ni
29/05/2018
Goo Cle Nko #14 akiwa ktk mazoez ya wiki ya kujiandaa na mashindan ya june28 mpira kwet ni
28/05/2018
akiwa anapamban na kujitum zaid katik mazoez ya wiki uwanja wa kalolen siku ya jumamosi kwa ajili ya kujiandaa na mashindan ya .T.I.D.O cup