30/03/2024
๐ฐ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฐ
๐
โฝ๏ธ Young Africans SC๐Mamelodi Sundowns FC
๐ 30.03.2024
๐ Benjamin Mkapa
๐ 9:00PM๐น๐ฟ
Yanga Sports Club For Life (naipenda Yanga)
30/03/2024
๐ฐ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฐ
๐
โฝ๏ธ Young Africans SC๐Mamelodi Sundowns FC
๐ 30.03.2024
๐ Benjamin Mkapa
๐ 9:00PM๐น๐ฟ
25/03/2024
20/12/2022
Messi anawasalimia
15/11/2022
Taarifa kwa Umma
06/11/2022
๐จTUNISIA
Kikosi kimewasili salama Tunisia, tayari kwa maandalizi ya mchezo wetu wa marudiano dhidi ya Club Africain, tarehe 09.11.22, Jumatano.
04/11/2022
WANANCHI
Kuweni makini sana na watu K**a hawa.Ukiwaona wanavyolalamika Kwenye media "vyombo vya habari"unaweza kusema amewekeza Yanga sc.
04/11/2022
Guadiola alipewa malengo ya kuchukua Uefa pale Man City nadhani alifika Fainali mara moja. Lkn hakufukuzwa. Kwa nn? Kwa sababu bado wana matumaini ya siku moja atachukua kombe. Klop wakati anafika Liverpool aliwaambia anahitaji kutengeneza project na itachukua miaka 5 mpk kupata wanachokitaka watu wa Liverpool ndicho alichopata baada ya miaka 5 alibeba EPL trophy ambayo ndo ilikuwa ndoto yao kwa takribani miaka 30. Nabi umempa timu Mwaka na nusu unataka awe ameshafanya yale mnayoyahitaji. Kiafrika Africa tunataka vitu visivyowezekana viwezekane lkn ktk kuuheshimu mchezo wa mpira wa miguu basi tunapaswa kuwa wapole. Hawa klabu Africain ni mabingwa wa champions league 1991 na wana makombe 40 kwa ujumla ikiwa 29 ni domestically mengine 11 ni ya nje. Ni timu kigogo kwenye vigogo Africa. Ni vile tu tangu 2015 walipata mtikisiko lkn ES Tunis,Monastir msingengekuwa mnawasikia. Inawezekana kuna mahali tunapaswa kuongeza nguvu kwaajili ya msimu ujao lkn kwangu mm hata tukitolewa natamani Nabi aachwe amalize ligi kisha Uongozi ufanye mabadiliko kwa msimu ujao ili kutotuondolea ile chemistry ya Wachezaji wetu la sivo tukikurupuka tutajimaliza wenyewe
Nimejikuta nawaza kwa sauti๐๐
๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ
Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa Young Africans tuna kila sababu ya kwenda Uwanjani kupata burudani na kuisapoti Klabu yetu kwenye mashindano yote msimu huu.
๐๐๐บ๐ฎ๐บ๐ผ๐๐ถ | ๐ง๐ฎ๐ฟ๐ฒ๐ต๐ฒ ๐ฌ๐ด.๐ญ๐ฌ.๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฎ
kwa Mkapa moto utawaka๐ฐ
23/09/2022
Tunakwenda kuanzia nyumbani hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika
19/09/2022
Kunenepa kuendeleeeeeeeeeeeeeeee
Kuwa yanga raha bhana๐๐๐๐๐๐๐๐๐
20/08/2022
Yanga hatupoi,gatuboi
Ft Costal Union 0-2 Yangaaaa
18/08/2022
Jambo La Nchi Kwa
๐๐ข๐ข ๐๐ข๐บ๐ข๐ณ๐ช...........