Time flies 😭😢
Pavard JR
Sport for Refreshment
Kila la kheri wekundu wa msimbazi kwenye gemu ya Leo.
01/10/2023
Kila la kheri chama langu la wekundu wa msimbazi kwenye gemu yetu ya Leo 🙏. Inshallah tutashinda na kufuzu makundi sema ameeni.
01/10/2023
Wamefuzu lakini hawana furaha kwasababu wanaelewa baada ya miaka 25 ndo wanafika level ambayo Simba wameshafanya hvyo sana tu kwahyo hmna maajabu.
30/09/2023
Nchi hii bila Simba kufanya vizuri kimataifa Tanzania tusingepata nafasi ya kuandaa AFCON
16/09/2023
Unawakumbuka Hawa viungo Bora kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka
19/08/2023
Chuma Cha reli....
03/08/2023
Tukisema simba timu kubwa ndo tuna maamisha hivi ,,, Siku tatu kabla ya gemu tushamaliza ticketi zooote
26/07/2023
Mtoto kaludi nyumbani watakoma kulinga huu mwaka
26/05/2023
Pape Sakho, Peter Banda , Habibu kyombo hawana nafasi kwenye kikosi Cha Simba watafute pakwenda
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam