LOYAL BROWN

LOYAL BROWN

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from LOYAL BROWN, Football Stadium, Dar es Salaam.

-LOYAL BROWN ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ
-Football News / Analysis | TRANSFERSโšฝ๏ธ๐Ÿ€๐Ÿ†
-Taarifa Sahihi Na Uhakika Kila Wakatiโœจ๏ธ๐Ÿฅ‰๐Ÿ”ฅ
-Welcome to the fire news
-Karibuni kwa taarifa moto moto

02/04/2026

WANAMSIMBAZIII!!! Wao Wanasema Et Wanachinja Tu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

๐Ÿ”ฐ...๐๐„๐—๐“ ๐Œ๐€๐“๐‚๐‡
โ€Ž
โ€Ž๐Ÿ†
โ€Žโšฝ Simba Sc ๐Ÿ†š Coastal Union Fs
โ€Ž๐Ÿ“… 02.04.2026, Thursday
โ€Ž๐ŸŸ๏ธ Isamuyo Stadium, Dar Es Salaam
โ€Ž๐Ÿ•– 19:00 HRS
โ€Ž

02/04/2026

MCHEZO WETU UNAOFUATA NI DHIDI YA PAMBA JIJI FCโšฝ๐Ÿฆ


Mashujaa Fc ๐Ÿ†š Pamba Jiji Fc
๐Ÿ†
๐Ÿ•“ Saa 10:00 Jioni
๐Ÿ—“๏ธ 04.04.2026
๐ŸŸ๏ธ Lake Tanganyika

02/04/2026

Baada ya Harmonize kumjibu Diamond platnumz kuhusu inshu ya ujenzi wa Arena hapo Jana, Ibrah ambaye aliwahi kuwa chini ya Harmonize aliingia insta story na kuandika "Kasongo amechafua hali ya hewa", huo ujumbe wengi wali tafsiri k**a kijembe kwenda Kwa Harmonize.

Baada ya hapo harmonize alicho kifanya ni kumblock Ibrah k**a mnavyo ona hapo.

02/04/2026

Inawezekana Harmonize Ndo Msanii anaye ongoza Kwa kuchukiwa Kwa Sasa.

Aisee ndo comment gani hii.

02/04/2026

Winga wa Elie Mpanzu amegoma kurejea kambini kufuatia madai ya kutolipwa fedha alizoahidiwa baada ya kusaini mkataba mpya.

Inaelezwa kuwa mchezaji huyo anashikilia msimamo wake hadi alipwe kiasi cha fedha za utangulizi (sign-on fee) alichoahidiwa kabla ya kikosi kurejea mazoezini.

Taarifa zinaeleza kuwa licha ya klabu kumuita kambini kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya akidai anaumwa, bado hajajitokeza.
Kutokana na hali hiyo, Mpanzu hatakuwa sehemu ya kikosi

kitakachocheza dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo.

02/04/2026

๐ŸŸ๏ธ๐Ÿ”ฅ SIMBA vs COASTAL UNION LEO NI LEO!

Msimu uliopita pale KMC Complex, Coastal Union walifanya comeback ya ajabu baada ya kutoka 2-0 hadi 2-2 dhidi ya Simba SC ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ”ฅ

Leo majibu yanatafutwa tena!
๐Ÿ• Saa 1:00 usiku (EAT)
๐Ÿ“ Uwanja wa Isamuyo ๐ŸŸ๏ธ

๐Ÿ’ช Simba wanahitaji ushindi wa nyumbani kujiimarisha zaidi kwenye mbio za ubingwa.

02/04/2026

๐Ÿšจ UPDATE SIMBA SC ๐Ÿฆ

Simba SC imeomba kutumia uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium kwa mchezo wa CRDB Federation Cup dhidi ya Dodoma Jiji FC utakaochezwa April 12.

๐Ÿ“ Endapo maombi yatakubaliwa, Simba watacheza mechi 3 mfululizo jijini Arusha:

๐Ÿ†š Tanzania Revenue Authority FC April 9
๐Ÿ†š Dodoma Jiji โ€“ April 12
๐Ÿ†š Fountain Gate FC - April 15

๐Ÿ”ฅ Ratiba nzito ndani ya muda mfupi mtihani mkubwa kwa wekundu wa Msimbazi!

02/04/2026

๐Ÿšจ๐Ÿ’ฃ Timu ya Taifa ya Portugal ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น imepanga mchezo wa kirafiki dhidi ya Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ tarehe 10 Juni ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Kombe la Dunia ๐ŸŒ๐Ÿ†

๐Ÿ”ฅ Huu ni mtihani mzito kwa timu zote mbili:

Portugal wakijiandaa na ushindani wa kiwango cha juu

Nigeria wakipata nafasi ya kujipima dhidi ya moja ya timu bora Ulaya

๐Ÿ‘€ Mechi hii inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na burudani ya hali ya juu kwa mashabiki wa soka duniani!

02/04/2026

๐Ÿ”ฅ ATEBA ANAWAKA IRAQ!

Mshambuliaji Leonel Ateba ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ ameendelea kungโ€™ara kwenye Ligi Kuu ya Iraq ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ถ baada ya kufikisha mabao 13 katika msimu wake wa kwanza ๐Ÿ‘

Amefikia idadi ile ile ya mabao aliyofunga akiwa na Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ msimu wa 2024/25 ndani ya NBC PL

๐Ÿ† Vinara wa mabao kwa sasa:
๐Ÿฅ‡ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฟ Temirov โ€” 20
๐Ÿฅˆ ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Kuku โ€” 14
๐Ÿฅ‰ Ateba โ€” 13

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Simon Msuva ana mabao 4 pekee hadi sasa

โณ Bado mechi 13 kabla ya msimu kumalizika vita ya kiatu cha ufungaji bado iko wazi!

02/04/2026

WANANCHIIIIIII!!! Wao Wanasema Et Kwao Ni Kicheko Tu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

๐Ÿ”ฐ...๐๐„๐—๐“ ๐Œ๐€๐“๐‚๐‡
โ€Ž
โ€Ž๐Ÿ†
โ€Žโšฝ Young Africans ๐Ÿ†š Tanzania Prisons
โ€Ž๐Ÿ“… 04.04.2026, Saturday
โ€Ž๐ŸŸ๏ธ KMC Complex, Dar Es Salaam
โ€Ž๐Ÿ•– 18:30 EAT
โ€Ž

02/04/2026

TOP 10 MSIMAMO WA LIGI KUU NBC PREMIER LEAGUE BADA YA MCHEZO WA LEO WA JANA

02/04/2026

BREAKING NEWS: ๐Ÿšจ SIMBA WAANGUKIA PUA KESI YA DAMARO TFF! taarifa za awali ni kwamba Simba wameshindwa kesi waliyoifungua TFF kuhusu uhalali wa uraia wa mchezaji Mohammed Damaro Camara, kila kitu kimeonekana kipo against wao (Simba) na uraia wa Mohammed Camara hauna shaka yeyote. Taarifa kamili itatoka hivi punde.

Simba wanafikilia kwenda CAS ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam