08/03/2025
Nukuu ya leo kutoka kwa Birthday Boy Ntulo Jb93 Ni hii ~Kuna watu baada ya KUKUTANA NAO, unatamani k**a UNGEWAFAHAMU miaka MINGI ILIYOPITA, ila Pia Kuna watu baada ya kukutana nao UNATAMANI USINGEWAHI KUKUTANA NAO KABISA kwenye maisha yako kutokana na MAUMIVU WALIYOKUACHIA.
Ndio maana ni MUHIMU sana kuendelea kumuomba MUNGU ili AKUKUTANISHE na watu SAHIHI, kwa sababu watu wanaweza aidha KUHARIBU MAISHA YAKO au KUKUSAIDIA kuwa MWANZO WA FURAHA NA MAFANIKIO YAKO AHSANTE SANA WAZAZI WANGU MPAKA HAPA NILIPO SIFA NYINGI NI ZENU PIAH BILA KUSAHAU NDUGU JAMAA NA MARAFIKI AMBAO WANANIZUNGUKA NAWASHUKURUN KWA UMOJA WENU MUNGU AWABARIKI NYOTE.+1๐๐ฝ๏ธ๐ด๐ฅ
20/01/2025
Vikwazo, changamoto, na maneno ya watu hayawezi kukuzuia kufikia ndoto zako.
Ni maamuzi yako na jinsi unavyochukua hatua ndivyo vitakavyoamua safari yako ya mafanikio.
Jiamini, songa mbele, na usikubali kujizuia
11/01/2025
Kila kushindwa kuna funzo kubwa, Usikubali changamoto zikatishe ndoto zako, usiogope kujaribu tena
Mafanikio yanajengwa na uvumilivu, bidii, na kuamini kwamba kila hatua, hata inayoshindwa, ni sehemu ya safari yako ya ukuaji, usikate tamaa
04/01/2025
Ukichelewa kujielewa halafu ukaja kujielewa ukubwani unakuwa na kaushamba cha kujielewa๐ซ
04/01/2025
.. Amini kile ambacho moyo wako unakusukuma kufanya na sio kile ambacho watu wanasema
Haujaumbwa kumfurahisha kila mtu usijitwishe mzigo usio kuhusu tatizo watu wema wanakujaga wakati ambao tumeshaacha kuwaamin watu
27/12/2024
Ngumu sana kumtunza mwanamke ambae anaamini uzuri wake utamtoa kwenye umasikini
27/12/2024
.. Usiruhusu watu wakupangie namna ya kuishi ikiwa kwenye magumu yako huwa hawakusaidi k**a unaamin unachofanya usiruhusu watu wakurudishe nyuma
Manahodha wengi chombo huenda mrama
๐๐
27/12/2024
FAMILIAA
.. *Kila ulipo ni mlango wa mafanikio fanya tu kazi kwa bidiii kuwa mvumilivu weka malengo jali muda halafu zingatia Sala hatujui k**a tutapata ila tuna iman na anaetoa
Mola aibariki siku yako leo iwe yenye baraka
22/11/2024
Tuishi maisha yetu kuna kesho baada ya fake ya leo.
Jikubali na kipato chako jikubali ulivyo, jiamini.
Wewe sio wao na wao sio wewe โ๏ธ
20/11/2024
Ukiwa unatafuta
siku yakupata pia ipo Kheri ya siku ya kuzaliwa Bro Mungu akupe Afya Njema na Miaka Mingi Zaidi
16/11/2024
Kwa sasa watu waliopo humu ndani shida yao sio pesa, sio nyumba za kifahari au magari, shida yao kubwa ni uhai.
Wapo radhi wapoteze kila kitu then waanze moja, tunatakiwa kuishi kwa kutanguliza utu kwanza then mengine yanafuata.
By the way waokoaji sasa wanaonekana kukaribia eneo la vifusi vya chini, wanachimba kwa tahadhari na mikono na mashine zingine wasije kuwajeruhi waliohai.
Awali baadhi ya waliohai huko chini walisikika wakiomba maji.
Wanadamu tunapoambiwa habari za kutubu na kukemewa makosa yetu tusiwe watu wa kudhihaki na kutukana na kurusha maneno ya kejeli kwa watumishi wa Mungu, mara wivu mara unatafuta umaarufu, mara unahukumu. Hakuna miongoni mwetu anayejua siku ya kuondoka duniani.Dhambi zako unazijua wewe ni shahidi wa moyo wako na siku ya mwisho utatolea hesabu na kushangiriwa na waliokuwa wakikushangiria na kukutetea kuwa uko vizuri tu na sifa za uongo za watu wa mitandaoni,siku hiyo hawatakuwepo. Mhubiri anasema mkumbuke Muumba wako.