21/12/2023
Hesabu za tukiwaki😅😅😅
soccer
21/12/2023
Hesabu za tukiwaki😅😅😅
14/12/2023
KUHUSU AUBIN KRAMO 🔥🔥🔥
Nyota wa Simba, Aubin Kramo anatarajiwa kurejea nchini wiki Ijayo kutokea Tunisia 🇹🇳 akiwa fiti mara baada ya kupona majeraha ya goti yaliyopelekea afanyiwe upasuaji.
Nyota huyo wa zamani wa ASEC MIMOSAS tayari amemaliza programu za awali za mazoezi ya utimamu wa mwili 'Fitness' na atakapotua moja kwa moja ataungana na timu kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Wydad Casablanca.
WANASIMBA MNASEMAJE?
13/08/2022