19/06/2024
Taarifa mbili kuhusu maboresho ndani ya timu zitakujia leo kupitia Simba App.
Saa 7:00 mchana
Saa 11:00 jioni
Muhimu ni kupakua na kulipia app yetu ili uwe wa kwanza kupata taarifa hizi.
Simba nguvu moja
19/06/2024
Taarifa mbili kuhusu maboresho ndani ya timu zitakujia leo kupitia Simba App.
Saa 7:00 mchana
Saa 11:00 jioni
Muhimu ni kupakua na kulipia app yetu ili uwe wa kwanza kupata taarifa hizi.
17/06/2024
Taarifa kuhusu maboresho ya kikosi chetu itakujia leo kupitia Simba App.
β° Saa 7:00 Mchana
Muhimu ni kupakua na kulipia app yetu ili uwe wa kwanza kupata taarifa hizi. follow page yetu
Habari
14/09/2023
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!
MUME: Amka twende jogging mke wangu? π
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?π
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya. π―
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa? π
MUME: Basi yaishe endelea kulalaπ€
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio? π€
MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby π§
MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?π·
MUME: Jamani mi sijasema hiloπ
MKE: Kwa hiyo mie muongo?
MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hiiπ£
MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?π€
MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.π΅
MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"π€
MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe...
MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
Mke: Kwahiyo ulikua unanijaribu?
π°π°π°π°π°ππππ
Wanawake Mungu anawaona
Ukitaka kucheka zaidi WhatsApp 0714814995 by Emma King Tz Mastory
20/08/2023
Hawa hapa makamanda wa leo dhidi ya Dodoma Jiji.
23/07/2023
Taarifa kwa vyombo vya habari.