𝗕𝗨π—₯𝗧𝗒𝗑 𝗝π—₯ +255 𝗧𝗭

𝗕𝗨π—₯𝗧𝗒𝗑 𝗝π—₯ +255 𝗧𝗭

Share

Fan of Simba SC Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Admin at Aquinus Poultry Farm

Muandaaji wa matangazo ya kibiashara na msimamizi wa PAGE ikiwa utapendelea nisimamie.

WHATSAPP/CALL NO:- 0764 595 230

09/06/2026

FEI ni mchezaji mzuri sana lakini ni k**a Simba tunatumia nguvu nyingi sana bila mafanikio.

Wakati mwingine wachezaji wa kutumia nguvu nyingi ili kuwapata huwa hawafanyi vizuri maana nik**a waliikubali pesa na sio timu..

HUYU NAYE APIGWE TU CHINI ❌

08/06/2026

Jamaa jau sana kwa hiyo anataka nauli yake aliyowahi kumpa FARHAN! 🀩

07/06/2026

MSIMAMO WA NBC CHAMPIONSHIP LEAGUE

Ikiwa imesalia michezo miwili tu kwa kila timu mpaka hapa GEITA GOLD na KAGERA SUGAR wanarudi ligi kuu..

Kazi ipo kwa chama langu la MBEYA KWANZA tuna kazi ya kufanya kwenye PlayOff.

04/06/2026

TUMEFIKA HUKU KWELI?

Na bado tunataka mpira wetu ufike mbali

04/06/2026

MUDA WA KUSUBIRI UMEISHA ❌

Wadau wote wa kuku kutoka Tanzania na Afrika kwa ujumla wak, Sasa tukutane kesho kwenye tamasha letu kubwa kabisa la πŸ”₯πŸ”₯

Mhimu ni kwamba.. HAKUNA KIINGILO βœ…

04/06/2026

Njoo upate elimu

03/06/2026

Kuna WASAFI FESTIVAL halafu kuna KUKU FESTIVAL.. Tofauti ni kwamba Festival yetu hakuna kiingilio ni bure kabisaβœ…

WOTE MNAKARIBISHWA

31/05/2026

HERE WE GO
Fiston kalala mayele mbna mtajitafuta awamu hii

30/05/2026

PSG
πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†

29/05/2026

YANGA WANA USHAMBA SANA
Kuwalipa kina mchome na mandala kuisema Simba SC Tanzania haiwafanyi nyie muonekane bora sana simba itabaki kua simba

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam