𝗕𝗨π—₯𝗧𝗒𝗑 𝗝π—₯ +255 𝗧𝗭

𝗕𝗨π—₯𝗧𝗒𝗑 𝗝π—₯ +255 𝗧𝗭

Share

Fan of Simba SC Tanzania

13/09/2026

Wachambuzi msibadilishe misimamo yenu endeleeni vilevile kusifio uozo wenuu

13/09/2026

LEBASE NA KANGWANDA WACHAMBUZI WANATUKOSEA SANA
Wiki ilopita nilikuta mjadala wa lebase na kangwanda wachambuzi mnatukosea sana yaani garasa k**a kangwanda jana kapoteza mipira chungu nzima af mnamfananisha na lebase kwel mnatukosea sana
Morice Abraham anavyocheza anamzid kangwanda pakubwa mno niivyo kisa anaongea kiswahili

13/09/2026

Unasajili mabilioni af unaogopa maji wajivunii jana ilikua derby ya wachawi

13/09/2026

POLE SANA KOCHA WALIO WATUMA NDIO HAO
Usela mwingi na ushamba kwenye mpira unamteua watu ili wakawapige wapinzani huu ushamba yaan unamshambulia kocha wa tim pinzani
Hii haijaanza leo walisha waibia rivers utd ya Nigeria wakatozwa faini leo kimewalamba shida yote ni kuleta usela
Af mnauliza simba mbona hawajiungi kwenye ACA usela mwingi hakina faida yoyote k**a kiongozi mwenyewe yuko kwenye kihujum mpinzani

12/09/2026

Taifa limeaibika sijawahi sikia azam,singida ,namungo wamepiga kocha wa timu pinzani yanga wametuaibisha

12/09/2026

Simba atabaki mfano wakuigwa huwez kuta kiongoz anapiga kocha wa timu pinzani k**a yanga walichofanya leo

12/09/2026

Mangungu alivyopigwa mliposti kwenye page yenu leo mposti mlivyompiga kocha wa gaborone mkemee

12/09/2026

NIKAJUA MASHABIKI TU KUMBE HADI KOCHA AKILI HANAπŸ˜…πŸ˜…
Yaan ushinde saba kwa timu hiyo hiyo aw mje muazime wachezaji simba tuwape lebase na moris hahahah

12/09/2026

AZIZ KI HAKUNA ALICHO KIONGEZA YANGA MPAKA SASA HIVI
Kawa mchezaji wa kawaida kazi yake akitolewaa anaingilia majukumu ya kocha hakuna kilichoongezeka zaidi ya kucheleweshea timu ushindiii

12/09/2026

Wanga leo wamekutana chamazi wanabondana hatari

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam