09/06/2026
FEI ni mchezaji mzuri sana lakini ni k**a Simba tunatumia nguvu nyingi sana bila mafanikio.
Wakati mwingine wachezaji wa kutumia nguvu nyingi ili kuwapata huwa hawafanyi vizuri maana nik**a waliikubali pesa na sio timu..
HUYU NAYE APIGWE TU CHINI β
08/06/2026
Jamaa jau sana kwa hiyo anataka nauli yake aliyowahi kumpa FARHAN! π€©
07/06/2026
MSIMAMO WA NBC CHAMPIONSHIP LEAGUE
Ikiwa imesalia michezo miwili tu kwa kila timu mpaka hapa GEITA GOLD na KAGERA SUGAR wanarudi ligi kuu..
Kazi ipo kwa chama langu la MBEYA KWANZA tuna kazi ya kufanya kwenye PlayOff.
04/06/2026
TUMEFIKA HUKU KWELI?
Na bado tunataka mpira wetu ufike mbali
04/06/2026
MUDA WA KUSUBIRI UMEISHA β
Wadau wote wa kuku kutoka Tanzania na Afrika kwa ujumla wak, Sasa tukutane kesho kwenye tamasha letu kubwa kabisa la π₯π₯
Mhimu ni kwamba.. HAKUNA KIINGILO β
03/06/2026
Kuna WASAFI FESTIVAL halafu kuna KUKU FESTIVAL.. Tofauti ni kwamba Festival yetu hakuna kiingilio ni bure kabisaβ
WOTE MNAKARIBISHWA
31/05/2026
HERE WE GO
Fiston kalala mayele mbna mtajitafuta awamu hii