26/11/2022
RESPECT 🙌🙌🙌
-Huyu Ni refarii kutoka Zambia anaitwa Janny Sikazwe aliwahi kumaliza pambano la Mali-Tunisia dakika ya 86 Kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika.
-Licha ya kubezwa sana mitandaoni baadaye uchunguzi ulibainisha kuwa hakuwa sawa kutokana na athari ya joto kubwa (mwili kushindwa kuendana na joto kubwa kwenye mazingira ya nje ya mwili)
-Sasa yuko Kombe la Dunia na moja ya michezo aliyochezesha ni kati ya Belgium Vs Canada. Pambano hilo alilimudu vyema na kuwaacha wengi midomo wazi hasa waliokuwa wakibeza uwezo wake.
-Put Respect on what you do, love your work, fight your war.
-Lastly, pay respect for those who Respect 👏👏
✍️