18/04/2022
K**a uliangalia mpira katika ya Simba sc dhidi ya Orlando pirates huyu jamaa unampa asilimia ngapi ?? nungunungu.
:
Karibu katika ukurasa huu kupata kujua habari mbalimbali za kimichezo ndani na nje ya Tanzania
18/04/2022
K**a uliangalia mpira katika ya Simba sc dhidi ya Orlando pirates huyu jamaa unampa asilimia ngapi ?? nungunungu.
:
18/04/2022
Ameandika .adebayor kwenye ukurasa wake wa Instagram
marafiki zangu hongereni kwa ushindi wenu na nakumbuka sana upendo wenu kwangu
05/04/2022
✍️Orlando pirates News to Simba sc Haji Manara Receive News Amazing
This is football don't panic
🗣️Call me Molauranta
:
05/04/2022
Baada ya kufanyika Droo ya kombe la klabu bingwa Afrika
Es- Setif vs Es Tunis
CR - Belouizdad vs Wydad AC
Al - Ahly sc vs Raca CA
Atletico Petroloes vs Mamelodi Sundowns
05/04/2022
✅Baada ya Draw ya hatua ya Robo fainali kufanyika
SIMBA SC VS ORLANDO PIRATES
AL ITTIHAD vs ALHI TRIPOLI
PYRAMIDY VS TP MAZEMBE
AL MASRY SC VS RS BERKANE
mkondo wa kwanza 17 April 2022
mkondo wa pili 24 April 2022
03/04/2022
SIMBA ROBO FAINALI
klabu ya simba sc yatinga hatua ya Robo fainali kombe la shirikisho Afrika baada kuifunga US Gendermerine National magoli 4-0 magoli yalifungwa na Kanoute 63' Mugalu ambaye ameingia kambani mara mbili dakika 68 na dakika 78 na goli la nne amejifunga mchezaji wa US Gendermerine National Hamisi dakika 84 ya mchezo.
Simba sc washika nafasi ya Pili wakiwa na alama 10 na magoli yakufungwa na kufunga 2 ya kundi lao D ambapo nafasi ya kwanza ikiongozwa na RSB Berkane wa Morocco ambao nao wana alama 10 magoli yakufungwa na kufunga 2.
26/03/2022
ALEX KABANGA CHALI MBELE YA TWAHA KIDUKU
Bondia Mtanzania 🇹🇿Twaha kiduku rasmi bingwa UBO Afrika katika uzito wa Super middle baada ya kumtwangwa kwa alama ( point) mpinzani wake Alex Kabanga raia kutoka DR Congo anaishi nchini Afrika kusini.
📸 by Azam tv
25/03/2022
MATOKEO YA MICHEZO YA KUFUZU KOMBE LA DUNIA NCHINI QATAR 2022 MATAIFA KUTOKA AFRIKA.
DR CONGO 1-1 MOROCCO
CAMEROON 0-1 ALGERIA
MALI 0-1 TUNISIA
EGYPT 1-0 SENEGAL
GHANA 0-0 NIGERIA
Michezo ya kulidiana itachezwa Mach 29 ,2022 siku ya jumanne.
Je! timu ipi hapo unaipa nafasi ya kufuzu kombe la dunia nchini Qatar 2022.
:
11/02/2022
TANZIA:
TAARIFA za hivi punde zinasema Mchezaji Ally Mtoni Sonso amefariki dunia.
Kwa mujibu wa taarifa hizo zinasema, Msiba umetokea Hospital ya Taifa ya Muhimbili muda mchache uliopita.
07/02/2022
FRANCIS BARAZA - Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Januari, 2022.
07/02/2022
FISTON MAYELE - Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Januari, 2022.
07/02/2022
#
///
Nimeona mjadala wa VAR 👏👏 ni wazo zuri naamini nia ni kuufanya mpira wa nchi hii uendelee kuwa bora zaidi.
Lakin kwangu VAR sio tatizo la msingi la mpira wetu.
Tatizo la msingi la mpira wetu ni sehemu ya kuchezea (PITCH).
Tuna pitch mbovu sana nchi hii ukitoa Taifa, Azam Complex na Kaitaba, viwanja vingi vilivyosalia ni changamoto.
Mpaka leo viwanja vyetu vinapakwa chokaa kabla ya mechi na baada ya muda chokaa inafutika uwanja unakua hauna mistari.
Mvua zikinyesha kidogo tuu mpira hauchezeki
Mechi nyingi zinachezwa kwa kulazimishwa mfano mechi ya Mbeya City Vs Ruvu Shooting haikupaswa kuchezwa pale Sokoine.
Ushauri wangu kabla ya ku invest kwenye VAR tungejikita kuboresha viwanja..
Europe walianza kuboresha viwanja ndo wakaja kwenye VAR.
Na kabla ya kufika kwenye VAR mamlaka husika waendelee kuboresha viwango vya waamuzi wetu wapate seminar za kutosha na wapate mechi kubwa za Afrika ili kuongeza uzoefu na kujiamini kwao.
Tukishamaliza kuwekeza kwenye Pitch ndio tutakuja kwenye VAR.