Abdillah Abdi

Abdillah Abdi

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Abdillah Abdi, Football Stadium, AbdillahAbdi695@gmail. com, Dar es Salaam.

25/06/2025

CONGRATULATIONS YOUNG AFRICANS this is football sadness joy and pain

babu yang alinifunza jinsi ya kumuuwa nyoka lkn alinitilia mkazo san usijaribu kumuuwa nyoka bila kumuheshimu bila tahadhari

nimeumia san lkn its football unachezaj mbele ya jini pacome zouzou what a drible what a play what a moment tumeadhibiwa kwa makosa ya tahadhar

hang up simba ๐Ÿฆโค๏ธ

28/05/2025

Shogaake ๐Ÿธ๐Ÿธ
anakandwa huko ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

19/05/2025

We are standing with the lion in every difficult timeโœŠ and good โœŠWe standing in every fate - and we have been together - and the lion even before we have our lovers and even after leaving our lovers๐Ÿ’” but we are still with lion๐ŸฆโœŠ it hurts and frustrates so we will stay with the lion in every time.

12/05/2025

Wanangu si bado tuna kikao kizito sn pale msimbaziiiii

follow Abdillah Abdi

12/05/2025

Hawa jamaaa wana haha san ili wajarib kuisha wish yanga ya mchong ilete timu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚




12/05/2025

anangu hapa vp tunaenda ama tunabaki dar dola 1200 ni saw na sh ngap wakuu๐Ÿ˜œ

12/05/2025

โ€œNi vyema kila mtu akafahamu kwamba Simba ni mwana fainali ya CAF, fainali ya mara ya pili baada ya ile ya mwaka 1993 na safari hii tukicheza na RS Berkane ya Morocco.โ€

โ€œKatika kufika fainali hii tunayo kila sababu kumshukuru Rais na Mwenyekiti wa Bodi, Mohammed Dewji. Amefanya kazi kubwa sana, amepambana na amepigana vita kubwa kuhakikisha Simba inafika fainali ya Kombe la Shirikisho.
Mo Dewji amefanya kila kinachowezekana ndani ya klabu yetu. Sisi Wanasimba hatuna budi kumshukuru, kumpongeza na kumuombea aendelee kupambana kuiba Simba ubingwa wa Afrika. Tumuombee kwa Mwenyezi Mungu ampe afya njema, kuimarisha uchumi wake na kuendeleza mapenzi yake kwa Simba Sports Club.โ€

โ€œLakini hatuna budi pia kumpongeza Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu ya kufika fainali ya Afrika. msimu huu amejitoa sana, amepambana sana, amekuwa bega kwa bega na Simba, ameilea Simba k**a mtoto wake wa kumzaa mwenyewe, amekuwa akiisimamia Simba kwa kila hatua na leo Simba inakwenda kucheza fainali ya Afrika. Yeye kwa kushirikiana na wajumbe wa bodi wamefanya kazi kubwa. Wapo wengi wamepambana lakini hawa ndio machampioni wetu wa kuifikisha Simba hapa tulipofika.โ€

โ€œBaada ya kumalizana na Berkane, Mnyama atarudi nyumbani kwa mchezo wa marudiano na kombe litakuwepo Uwanja wa Mkapa. Kuelekea mechi zetu za fainali tunakwenda na kauli mbiu ya TUNABEBA. Tunamaanisha ubingwa wa Afrika safari hii tunabeba. Kuanzia sasa kila Mwanasimba aiweke moyoni hiyo na aanze kufanyia kazi kuhakikisha kombe hili tunabeba.โ€- Semaji Ahmed Ally.

29/01/2024

Football

Kuna mwana mchezo mkubwa aliwahi kusema


Sifikirii k**a football ni mchezo wa furaha kwa sababu unatoka majumbani ukiwa na furaha lkn unarudi ukiwa na huzuni.

THIS IS FOOTBALL ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

02/01/2024

HELLO. MY FANS PAGE ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ

HII. WELCOME 2024
๐Ÿซ‚๐Ÿซ‚๐Ÿซ‚๐Ÿซ‚๐Ÿซ‚๐Ÿซ‚๐Ÿซ‚

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


AbdillahAbdi695@gmail. Com
Dar Es Salaam