12/05/2026
Hawa Young Africans Sports Club sasa wameshindikana, ndani ya masaa tu na chenchi imebakiπ³π³π³π³
ππππ ππππ πππππππππππ!
Asanteni Sana ππππππππππ½
11/05/2026
Wananchi Young Africans Sports Club hawanaga jambo dogo, hili nalo wameamua kulivalia njuga
10/05/2026
klabu ya Chelsea Football Club Women imepoteza mchezo wa nusu fainali ya kombe la FA mbele ya wababe MANCHESTER CITY. mechi imepigwa katika uwanja wa Stanford Bridge Chelsea Football Club .
mchezaji ERIN CUTHBERT akicheza mchezo wake wa 3000 akiwa na chelsea
10/05/2026
WAJELAJELA WAMEFUNGWA Alba na
Simba SC Tanzania huku mwamba wa lusaka
Clatous Chama akinyakua tuzo ya mchezaji Bora wa mechi.
next.......
10/05/2026
Tuzo za BMT Simba SC Tanzania ndio klabu Bora mwaka 2025
09/05/2026
Manchester City CITY Bado wanautaka ubingwa wa Premier League . Hapa Arsenal the gunners wacheze mechi zao vzr
09/05/2026
STAR BOY β
Huyu kumbe Allan Okello akicheza pale shimono ni moto π₯ wa kupotea mbali .
Wanancho Young Africans Sports Club hapa waliramba dume
08/05/2026
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! M***a Rashidi, Culture Madevu, Mathias Mkenda, Emannuel Jumbe
08/05/2026
THE MAGIC HOUSE π‘ YAWAKIMBIZA ISAMUHYO
Mwanzi waliukimbia uwanja wa kmc , wakakimbilia Jeshini. Dakika za jioooon wamefanyiwa shambulio la aibu ndani ya THE MAGIC HOUSE π‘. Ndo wakagundua kumbe Hata kule sio kwao wanachoma mafuta tu, WAMEAMUA KURUDI GETO.