19/07/2026
KAZI INAENDELEA... Young Africans Sports Club
sports
19/07/2026
KAZI INAENDELEA... Young Africans Sports Club
14/07/2026
NIC Insurance ndiyo chaguo sahihi kwa mambo yote ya BIMA...wachague hao upate kitu bora kuliko kawaida.
"Parade toto" la Young Africans Sports Club ni siku ya jumatano wiki hii tarehe 15/07/2026
Parade la kusheherekea ubingwa wa ligi ya under 20 Tanzania.
Young Africans Sports Club Inaendelea kukuandalia burudani kabambe k**a hiyo hapo chini katika video.
Usajili unafanyika kimya kimya kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano.
Young Africans Sports Club haijawahi kwenda kinyonge mbele ya timu yoyote inayojiita kubwa kamwe.
Tuisilaaaaaaaaa kisindaaaaaaaa
10/07/2026
Klabu yetu ya Young Africans Sports Club imemtambulisha rasmi kocha wetu mkuu MANQOBA MNGQITHI.
Karibu sana kocha wa mpira 🔥
10/07/2026
MWANANCHIIIIIIIIIIIIIIIIII
Young Africans Sports Club INAENDELEA NA MCHAKATO WAKE WA UCHAGUZI KWA MWAKA 2026.
YANGA SC NI TIMU INAYOFANYA UCHAGUZI WAKE KWA WELEDI MKUBWA KULIKO TIMU NYINGI BARANI AFRICA.
KONGOLE WANACHI.
MAKIPA NI WENGI SANA NDANI YA NBC PREMIER LEAGUE...LAKINI DIARA NI MMOJA TU.
08/07/2026
Habari mwana yanga mwenzangu,naomba kukupa taarifa kwamba klabu yetu imeanza maandizi ya usajili kimya kimya kuhakikisha kikosi kinaimarika ipasavyo.
Nitakuwa nakuwekea katika page hii wachezaji watakao Achwa na watakaosajiliwa.
Dili la kurejea kwa STEPHANO AZIZ KI LINAELEKEA KUKAMILIKA 🔥
WEKA LIKE YAKO HAPO CHINI MWANAYANGA MWENZANGU TWENDE SAWA.