15/09/2022
Asiboy sport arena
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Asiboy sport arena, Stadium, arena & sports venue, Njaro, Dar es Salaam.
15/09/2022
31/08/2022
Ajax
AJAX MAPESA.
✍ Ajax Walimnunua Antony Matheus kwa €15M akitokea klabu ya Santos kwao Brazil wameuza kwa €100M
Ajax walimnunua Lisandro Martinez kwa €7M akitokea klabu ya Defensa kwao Argentina na wameuza Kwa €55M.
Faida kwa Antony €85
Faida kwa Lisandro €48
Jumla €133
31/08/2022
31/08/2022
💥Mechi ya leo ni muhimu sana kwa Kocha Florent Ibenge🇨🇩 kuliko mechi zote alizocheza tangu atue Al Hilal.
Kivipi?
Al Hilal 🇸🇩 watakutana na St.George🇪🇹 kwenye michuano ya CAF Champions league mwezi ujao..
St. George ambao walicheza na Simba🇹🇿 siku ya Simba Day na Simba kushinda mabao 2-0.
Hivyo watakuwa wanajipima na Timu sahihi kwao kuelekea mechi za Kimataifa.
Lakini pia, Al Hilal akimfunga St.George Ibenge anaamini anakwenda kukutana na Yanga sio Zalan, Yanga ambao ni wapinzani wa Simba...Hapa Ibenge anaamini Simba haitofautiani sana na Yanga kutokana na matokeo ya hivi karibuni kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, hivyo hii mechi itamuongezea kitu.
📌Hapa Ibenge amefanikiwa...Sema wale St. George wamemvuruga zaidi baada ya kumfunga mpinzani wake Al-Merrikh bao 3-0 hapo jana.
Bahati mbaya zaidi kwake, anaweza asipate uhalisia hasa kwa washambuliaji wake kutokana na baadhi ya key players wa Simba kukosekana kwenye mechi ya leo kutokana na majukumu ya Timu ya Taifa.
Mwisho naiona Al Hilal ikiwa ya moto sana leo...na ni kipimo sahihi sana kwa Zoran Maki kuelekea mchezo wake dhidi ya Nyasa Big Bullet🇲🇼 ugenini.
✍️ Imeandikwa na Sospeter Ilagila.
tufuatilie Instagram
https://www.instagram.com/p/Ch6hiNZKS9T/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
29/08/2022
Shirikisho la Soka TFF limethibitisha kuwa Golikipa Juma Kaseja amechaguliwa kuwa Kocha wa makipa wa timu ya Taifa Stars.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Njaro
Dar Es Salaam
0255255