MAMBO 10 YA SOKA

MAMBO 10 YA SOKA

Share

mpenda soka la Tanzania na nje ya tanzania

07/12/2025

Manager pantev na matola nani Bora kwako mdau comment ziwe fupi fupi

02/12/2025

Nyie si hamkuona makosa ya pantev wenzenu wameyaona na hawatambi na Ila bongo nyoso mwaisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

01/12/2025

Familia nilikuwa likizo ya mda mrefu kwani shida ya Simba ni kocha au wachezaji?
K**a shida iko kwa kocha je magoli ambayo wanakosa wachezaji uwanjani kocha anahusika kwa lipi na k**a kocha anakosa Hilo kosa lake liko wapi?
Tuelimishane

26/10/2025

Hongera sana Simba kuingia makundi neno moja kwa mnyama

25/10/2025

Neno moja kwa yangaπŸ™πŸ™

25/10/2025

Vipi mlitarajia haya?πŸ˜‚πŸ˜‚

25/10/2025

Kila lakheri wananchi leo

23/10/2025

Vipi watatoboa kweli Hawa jamaa kuingia makundi?

18/10/2025

Yanga hawana DogoπŸ˜‚πŸ˜‚

18/10/2025

Una lipi lakumwambia kocha wa yanga folz mwandambo?

18/10/2025

MAMBO KUMI SILVER STRIKER VS YANGA
1️⃣ Kibarua kigumu kimataifa – Silver Strikers wa Malawi wamewapa Yanga somo la kutokubeza wapinzani hasa ambao hawaonekani Mara kwa Mara kwenye videoπŸ˜‚

2️⃣ Andulu Yosefe πŸ‘πŸ½ – alitumia makosa ya walinzi wa Yanga waliokuwa wote mbele, akafunga bao safi la kufundisha! Namna yakulinda goli kwa tahadhari na kushambulia kwa nidhamu

3️⃣ Max Nzengeli– moyo, kasi, nguvu na kujituma. Huyu kijana ni injini ya Yanga kila dakika anajituma sana

4️⃣ Silver Strikers πŸ’ͺ🏽 – waliwanyima Sana yanga kutengeneza nafasi za wazi zaidi ya hapo ilitakiwa watumie vizuri nafasi za mipira iliyokufa

5️⃣ Uchizi Vunga πŸ’Ž – bleach kichwani, akili uwanjani! Nguvu na utulivu vinamtofautisha kabisa anajua mpaka anajua tena

6️⃣ Namba 9 ya Yanga bado shida kubwa! Hawana straika wa kuamua mechi ngumu hasa timu inapokutana na mpinzani mgumu kimbinu

7️⃣ KOCHA FOLIZ ananipa mashaka mengi Sana namna ya soka analofundisha sioni impact yeyote aliyoleta Hadi sasa naona kabisa yanga wanatakiwa kuingia sokoni kutafuta kocha mwenye uwezo mkubwa

8️⃣ Sub ya ajabu πŸ˜• – Mwenda out, Edmond in, ulinzi ukayeyuka. Max akalazimika kushuka nyuma kusaidia sehemu ambayo si eneo lake

9️⃣ Ubinafsi mwingi 😀 – kila mchezaji anataka kufunga, teamwork ikapotea kabisa.

πŸ”Ÿ Dakika 90 zimepita Malawi πŸ‡²πŸ‡Ό – zingine zinakuja kwa Mkapa πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ”₯. Hapo ndipo tanuru la moto litawashwa!

NB: NAO WATAKUJA KWA MKAPA😨

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

09:00 - 17:00