Mara ya mwisho kukutana kwa mkapa mambo yalikua hivi
Tarehe 29/3/2024;mambo yatakuwaje?
ZES MEDIA
Chaguo lako kwa ajili ya Trendings, Burudani na Michezo kote Ulimwenguni💫
Habari za Uhakika✅
04/02/2024
TANZIA: Rais wa Namibia Hage Geingob amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika mji mkuu, Windhoek.
Kwa mujibu wa Makamu wa rais Nangolo Mbumba ametangaza kuwa Geingob amefariki Jumapili alfajiri.
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 82 aligunduliwa kuugua saratani na alitangaza hali yake mbele ya umma mwezi uliopita.
29/01/2024
Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetinga robo fainali ya kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) kufuatia ushindi wa penalti 8-7 dhidi ya Mafarao katika dimba la Laurent Pokou, San Pedro.
Misri 🇪🇬 1-1 🇨🇩 DR Congo (P 7-8 )
⚽ Mostafa Mohamed 45'
⚽ Meschack Elia 37'
MATUTA
MISRI 🇪🇬 ✅❌✅✅✅✅✅✅❌
DRC 🇨🇩 ✅❌✅✅✅✅✅✅✅
DR Congo itachuana na Guinea katika hatua ya robo fainali
13/01/2024
Mlandege FC Mabingwa wa mara ya pili mfululizo
FT: Mlandege 1-0 Simba
Nini maoni yako!!?
Karibu kwenye ukurasa rasimi wa ZES MEDIA
Kwa burudani, michezo na habari za mastaa mbali mbali🙏
Kwa habari za michezo, burudani na story zote kali za mastaa tafadhari "SUBSCRIBE ZES MEDIA" kisha bonyeza alama ya kengele ili kuwa wa kwanza kupata habari. ASANTE!🙏
Link 👉
https://youtube.com/Zesmedia
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam