Michezo na madinda jr.

Michezo na madinda jr.

Share

Michezo niburudan

Photos from Manchester United's post 25/08/2022
20/08/2022

Kikosi kinachoanza dhidi ya Coastal Union



20/08/2022

... Salamu za pole kutoka katika klabu ya Simba SC kwenda Young Africans SC πŸ”°

20/08/2022

𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛 π——π—”π—¬πŸ”°

⚽️Coastal Union FC πŸ†š Young Africans SC
πŸ—“ 20 Agosti 2022
⏱ 10:00 Jioni
🏟 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
πŸ†


20/08/2022

Tanzia


19/08/2022

π—‘π—˜π—«π—§ π— π—”π—§π—–π—›πŸ”°

⚽️Coastal Union FC πŸ†š Young Africans SC
πŸ—“ 20 Agosti 2022
⏱ 10:00 Jioni
🏟 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
πŸ†


15/08/2022

.... Yanga wametua salama Arusha !

15/01/2022

🚨RATIBA

Timu ya Wananchi Yanga imefika salama mkoani Tanga tayari kwa mchezo dhidi ya Coastal union siku ya jumapili tarehe 16.1.2022 mchezo utakaopigwa kwenye dimba la mkwakwani.

Yanga imefika Tanga na wachezaji wao wote isipokuwa wachezaji watatu ambao ni majeruhi hawapo Tanga nao Ni pamoja na;

πŸ”° Yacouba songne (Yupo Tunisia amekwenda kuonana na Daktari kwa ajiri ya maendeleo ya jeraha lake ambalo alifanyiwa upasuaji mdogo wa goti la kulia)

πŸ”° Kibwana shomari (Yupo Tunisia kwa matibabu)
πŸ”° Abdallah shaibu Ninja (Yupo Tunisia kwa matibabu)

Wachezaji wengine wote pamoja na benchi la ufundi likiongozwa na Kocha Nabi lipo Tanga tayari kwa maandalizi ya mwisho kabla ya mchezo hapo kesho.

YANGA KUCHEZA MCHEZO WA KIRAFIKI ARUSHA JUMATANO DHIDI YA MBUNI FC UWANJA WA SHEKHE AMRI ABEID.

Timu ya Wananchi Yanga itaanza safari ya kwenda Mkoani Arusha siku ya jumatatu Asubuhi tarahe 17.1.2022 na baadae yaani jumatano ya tarehe 19.1.2022 Timu ya Wananchi Yanga watacheza mchezo wa kirafiki na MBUNI FC mchezo wa kirafiki kwenye dimba la Shekhe Amri Abeid kuanzia majira ya saa 10:00 jioni.

Mara baaada ya mchezo wa kirafiki Yanga wataanza tena safari ya kuwafuata wenyeji wao Police Tanzania.Mechi Kati ya Police Tanzania na Yanga itachezwa tarehe 23.1.2022 kwenye dimba la Ushirika.

All ze best timu ya Wananchi Yanga 🟒🟑πŸ’ͺπŸ’›πŸ’š

Mobile uploads 14/01/2022
14/01/2022

π—œπ—•π—₯π—”π—›π—œπ—  𝗕𝗔𝗖𝗖𝗔 is Green & Yellow πŸ”°


04/01/2022

DONE DEAL.✍️

𝗖𝗛π—₯π—œπ—¦π—£π—œπ—‘ π—‘π—šπ—¨π—¦π—›π—œ is now Green & YellowπŸ”°KUTOKA MBEYA KWANZA.


Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam