31/01/2023
Cesar Manzoki yupo hapa uwanjani 🤩
karibu sana kwenye chaneli yetu ya EsportsHD upate updates zetu mbalimbali,kwa maelezo wasiliana nasi
31/01/2023
Cesar Manzoki yupo hapa uwanjani 🤩
31/01/2023
HALF TIME!
Azam FC 0-1 Al Hilal
26/01/2023
Oscaroscarjr
26/01/2023
Inakuwaje hii waungwan🤔🤔 Haji manara
26/01/2023
Matokeo ya mechi ya jana Carabao Cup Marcus Rashford
26/01/2023
Msafara wa kumsindikiza marehemu aliyekuwa kaptein wa U17 wa singida big stars Mohammed banda katika jumba lake la milele
Singida Big Star FC
26/01/2023
Azam TV Esportshd
24/01/2023
Klabu ya Al Hilal ya Sudan kesho inatarajiwa kuja nchini kuweka kambi ya kujiandaa na Ligi
ya Mabingwa Afrika ambapo Simba SC tutakuwa wenyeji wao.
Wakiwa hapa Tanzania Al Hilal watacheza mechi tatu za kirafiki
Jan 26 Namungo Vs Al Hilal
Jan 31 Azam Vs Al Hilal
Feb 5 Simba Vs Al Hilal
Esportshd Simba SC Tanzania Azam FC Namungo Fc
24/01/2023
Gabriel mertnelli anaichezea club ya arsenal Kawa ni moto Man u itawezaje kumkabili mchezaji huyo??? Tujadili swala hili kidogo
24/01/2023
AL Hilal kutuwa kesho jijini Dar es salaam🛬je,tutawaweza kuwafunga??? Au tujiandae kufungwa
24/01/2023
Pongezi kubwa sana kwa mchezaji wa dunia C.ronaldo ambaye kwasasa anachezea Saudi Arabia katika timu ya AL nassr❤️❤️❤️vipi kuhusu Messi tashwishwi?
24/01/2023
Top group D team? Yanga ijipange msimu huu YANGA SC