05/01/2024
Mnyama kazini.
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SIMBA SC Team Mashabiki, Sports, Msimbazi, Dar es Salaam.
05/01/2024
Mnyama kazini.
04/01/2024
Mechi 2️⃣
Ushindi 2️⃣
Magoli 5️⃣
Tuna jambo letu katika
VIVIAN CORAZONE AWAPIGIA HESABU KALI YANGA PRINCESS/MSIKIE HAPA BAADA YA KUGAWA DOZI BAOBAB Simba Queens Tanzania
29/12/2023
⭐️ Ngoma ⭐️
28/12/2023
Ratiba mpya ya
Mipango ya usajili inaendelea muhimu ni kupakua na kulipia Simba App ili uwe wa kwanza kupata taarifa.
28/12/2023
Maandalizi ya yameanza.
22/12/2023
Ratiba ya tukiwa Kundi B.
“Ni mwanzo mzuri wa kuwa na Simba bora zaidi.”- mjumbe wa Baraza la Ushauri la Simba na Makamu Mwenyekiti wa zamani, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.
“Simba tutafika mbali sana.”- mjumbe wa Baraza la Ushauri la Simba na Mwenyekiti wa zamani, Hassan Dalali.
21/12/2023
Klabu ya Simba leo imezindua Baraza la Ushauri la Simba. Baraza hilo la ushauri lenye wajumbe 20 itaongozwa na Jaji mstaafu Thomas Mihayo k**a Mwenyekiti wake na litakuwa na kazi ya kushauri uongozi wa Simba. Wajumbe wa Baraza hilo ni viongozi wa zamani wa Simba ambao ni hazina kubwa katika maendeleo ya Klabu ya Simba.
21/12/2023
TAARIFA KWA UMMA.