15/09/2025
Kagame cup inaendelea Leo ni fainal kati ya Singida black stars dhidi ya Al Hilal
Bingwa atabeba kitita Cha $30,000
Mahindi wa pili ni $20,000
Na Wa tatu ni $10,000
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from News, Football Stadium, Masaki, Dar es Salaam.
15/09/2025
Kagame cup inaendelea Leo ni fainal kati ya Singida black stars dhidi ya Al Hilal
Bingwa atabeba kitita Cha $30,000
Mahindi wa pili ni $20,000
Na Wa tatu ni $10,000
15/09/2025
Hatimaye Tanzania imewakilishwa vyema na Alphonse simbu kutwa ubingwa wa marathon kidunia kongole zimfikie
Simba day ilivyonoga Leo ni matata hakuna hofu tena ni k**a mazombie
゚viralシfypシ゚viralシalシ
31/08/2025
Ina come back???
22/08/2025
CAF imethibitisha waamuzi wa mechi ya robo fainali ya CHAN 2024 kati ya Tanzania na Morocco kesho.
🔹 Mwamuzi: Abdou Abdel Mefire (Cameroon)
🔹 Wasaidizi: Amos Ndong (Gabon), Salim Alao (Benin)
🔹 VAR: Dahane Beida (Mauritania)
🔹 Msaidizi wa VAR: Carine Fomo (Cameroon)
15/08/2025
🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: NGAO YA JAMII; ratiba ya ngao ya jamii imebadilika na kurudi Ile ya zamani... Mshindi wa kombe la shirikisho atacheza na bingwa wa ligi kuu.
Lakini iwapo bingwa wa ligi atakuwa bingwa wa kombe la shirikisho basi, mshindi wa pili kwenye msimamo wa ligi kuu atacheza na bingwa wa ligi.
Hivyo simbasc vs yangasc zitacheza kabla ya tarehe 16 September 2025.
😂👐 👌
Boli linatembea wakuitwa NABY Camara fundi kweli kweli katikati analeta biliani
Pembeni ndio usiseme anamwaga maji ya upendo kwa amani na furaha
Simba sc wamepata jitu la milaba kweli kweli nguvu ya body ni giant wa ball huyu
15/08/2025
Mechi itakuwa live kupitia channel
Rayon Sports VS Yanga Sc
Saa 1:00 Usiku
Tukutane Amaholo studium Rwanda Ijumaa hii 15/08/2025..
15/08/2025
Pichani aliyezungushiwa kiduara anaitwa Boniface Kamau raia wa Kenya ametangazwa mshindi wa jackpot kubwa zaidi ya sportpesa nchini humo ambapo ameshinda milioni 424 za Kenya ambazo ni zaidi ya bilioni 8 za Tanzania
Si mchezo aisee
Mnifollow wapwa News
This page does not support gambling or betting
15/08/2025
Karibu unyamani NEO MAEMA
Mchezaji wa masandawana bro MEMA apewa thank you na wakali na mabingwa hao wa south Africa
Atajiunga na Wana lunyasi wekundu wa msimbazi kwa mkopo wa mwaka mmoja✅
14/08/2025
WACHEZAJI WAKIGENI WA SIMBA MPAKA SASA🔥
Ateba na Mutale wako hatarini kupitiwa 🗡️
1️⃣. moussa Camara 🇬🇳
2️⃣.Naby Camara🇬🇳
3️⃣.Joshua mutale🇿🇲
4️⃣. Lionel Ateba🇨🇲
5️⃣. Steven mkwala🇺🇬
6️⃣. Jonathan Sowah 🇬🇭
7️⃣. Mohammed Bajaber 🇰🇪
8️⃣.Elie Mpanzu🇨🇩
9️⃣.Alassane kante 🇸🇳
1️⃣0️⃣.Neo Maema 🇿🇦
1️⃣1️⃣.Rushyne De Reuck🇿🇦
1️⃣2️⃣.Chamou Karabou🇮🇪
1️⃣3️⃣. Charles AHOUA🇮🇪
14/08/2025
Kwa mujibu wa sheria za shirikisho la soka duniani FIFA ni marufuku kwa klabu yoyote ya soka kuchangia kampeni za kisiasa (sheria namba 4 ibara ya 19)
Kwa sheria hiyo Yanga inaweza kukumbana na adhabu kali baada ya kuchangia kampeni za CCM.