TNTsportsTanzania

TNTsportsTanzania

Share

KARIBU KWENYE MAKALA ZA MICHEZO. Sports New|Transfer New|Content Creator

tuFOLLOW ili kuwa mwanafamilia

oNπŸ‘‰youTube Channel BUHAYA1TV πŸ”Ž

01/02/2024

Sheria za mpira wa miguu za mitaani Siku za zamani:
1. Hakuna mwamuzi.
2. Mchezo unaisha ama wakati wachezaji wamechoka au wakati wa Maghrib (machweo) ya kusali.
3. Matokeo ni 23-22.
4. Adhabu hutolewa iwapo mchezaji ataapa juu ya mungu.
5. Mtu mnene anakuwa golikipa 😝.
6. Mwenye mpira akikasirika anauchukua mpira, mchezo unaisha 😁.
7. Faulo huhesabiwa kila mmoja akikubali πŸ™ƒ.
8. The wal ni mchezaji mzuri na anaweza kuwa upande wa timu yako muda wowote 😁.
9. Mchezaji wa ziada anaruhusiwa ikiwa timu haziko sawa πŸ˜‚
10. Makipa wanaweza kubadilishwa wakati wa mkwaju wa penalti πŸ˜†.
11. Mpira ukipita juu ya goli, mchezo unasimama kwa nusu saa kujadili k**a ni goli au la πŸ˜„.
12. Mwenye mpira huchezea timu yenye nguvu zaidi 😝.

Salamu kwa kila mtu ambaye aliishi kumbukumbu hizi nzuri ❀️


01/02/2024

BreakingNews:

YAMAL NA BENDERA 3 πŸ™Œ

Lamine Yamal ana bendera tatu kwenye viatu vyake πŸ‘Ÿ

Hispania, ambapo alizaliwa πŸ‡ͺπŸ‡Έ

Morocco, ambapo baba yake anatokea πŸ‡²πŸ‡¦

Equatorial Guinea, ambapo mama yake anatoka πŸ‡¬πŸ‡Ά

Yamal kachagua kuchezea timu ya Taifa Hispania

Photos from TNTsportsTanzania's post 01/02/2024

Official: Kikosi cha Simba SC kimewasili kigoma

01/02/2024

Wolves vS United

βš”οΈ MATCHDAY
πŸ•°οΈ 20:15
πŸ† Premier League

01/02/2024

🚨RASMI

Juventus wamekamilisha usajili wa Carlos Alcaraz kutoka Southampton kwa mkopo kwa msimu uliosalia ✍️

Ofa yenye thamani ya €3.74m na chaguo la kununua limeambatishwa, lenye thamani ya takriban €49.14m πŸ’°

31/01/2024

BREAKINGNEWS:

Idara ya afya katika klabu ya Real Madrid C.F. imeweka wazi kuwa Golikipa namba moja wa klabu hiyo Thibaut Courtois amepona kwa asilimia πŸ’― na ataanza kutumika kwenye Mchezo wa RO16 dhidi ya RB Leipzig kwenye mashindano ya UEFA Champions League mwezi ujao February. βšͺπŸ”΅

[Los Blancos] [The Madridistas]

31/01/2024

BreakingNews:

SAMWELI ETO’O YUPO MATATANI

Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Barcelona, Chelsea na Inter Milan Samwel Eto’o amesh*takiwa kwa makosa 3 na Viongozi, πŸ‡¨πŸ‡² 🐘.

Samwel Eto’o ambae ndio raisi wa FA ya Cameroon amesh*takiwa kuwa na makosa matatu baada ya timu ya Taifa ya Cameroon kuondolewa AFCON,⛔️

✍️ Samwel Eto’o anash*takiwa kwa upangaji wa matokeo, Vitisho vya Kimwili na kuchochea vurugu

Ikiwa itabainika kuwa na hatia kwa makosa kati ya hayo 3 atafutwa kazi k**a raisi wa Shirikisho la Michezo la Taifa la Cameroon na Faini kubwa, πŸ‡¨πŸ‡².

Source Athletic FC.

31/01/2024

BREAKINGNEWS:

Raisi Wa shirikisho la mpira wa miguu barani ulaya UEFA.com Aleksander Caferin amethibitisha rasmi kuwa hakuna fainali yoyote ya UEFA Champions League Wala UEFA Europa League itachezwa nchini Saudi Arabia kipindi yeye akiwa Bado ni raisi Wa shirikisho hilo. βŒπŸ‡ΈπŸ‡¦

31/01/2024

π€π™π€πŒ π’ππŽπ‘π“π’ π…π„πƒπ„π‘π€π“πˆπŽπ 2024

KICK-OFF

SIMBA SC 1 - 0️⃣ TEMBO FC

31/01/2024

Official Kikosi cha Simba SC dhidi ya Tembo FC.

31/01/2024

HAWA NDIO WAKALI WA KUIGIZA UGANGA KWA SASA.

Moja kati ya wakali wa kucheza movie za uganga na wanafanya vizuri sana katika kazi zao.

(1).. huyu hapa mwamba alionekana kwenye movie ya KITALE Maneno ya Kuambiwa Anaitwa CHILI AkA yake kwenye movie hiyo aliitwa MWINYI MKUU

(2)...huyu hapa mwamba alionekana kwenye movie ya CLAM VEVO snake boy anaitwa MWAKATOBE AKA yake kwenye hiyo movie aliitwa NTIBA

JE ni nani Mkali Kwa upande wako alie kufurahisha zaidi?


Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam