14/03/2022
Ng'ombee wa Manun'gu afikaaa jangwani
Kuhusu michezo
14/03/2022
Ng'ombee wa Manun'gu afikaaa jangwani
14/03/2022
Klabu ya Fc Barcelona ipo karibu kukamilisha dili la mlinzi wa Ajax fc iliyopo uholanzi Naussair Mazrour...dili hilo linatabiliwaa kumalizikaa mwishoni mwa msimu huu na kujiunga na miamba hiyo ya Hispania kwa usajili uhuru
14/03/2022
Like brother...like young
14/03/2022
#28 Aishi Manula
14/03/2022
Mshambuliaji mpya wa RC Berkane ..Fiston Abrudrazakh licha ya timu yakee kupoteza kwenye mchezo wa jana dhidi ya Simba Sc kombe la shirikisho bado ana imani kuwa Timu yakee imeshinda mchezo ule kutokana na maamuzi ya refa kuonekana hayajawafurahisha kwa upande wao..
14/03/2022
Magazeti ya leo
13/03/2022
The GOAT
13/03/2022
Ujumbe wa Cesc Fabregas na Luis Suarez kwa Messi na Neymar baada ya kuzomewa na mashabiki kwenye league 1 huko Ufaransa
Ujumbe wa mchezaji wa zamani wa fc barcelona pamoja na Aresanal Cesc Fabregas kwa Lionel Messi Pamoja na Neymar baaada ya kuzomewaa na mashabiki katika mchezo wa leaguee 1 PSG dhidi ya Bourdeaxe...pia ujumbe wa Mchezaji mwenzao wa zamani waliokipiga kwa pamoja katika klabu ya Fc Barcelona Luis suarez
13/03/2022
Mtoto wa kijerumani Kai Havert amewaongezea tena point klabu yake ya chelsea fc dhidi ya Newcastle katika dakika ya lala salama ya "88 na kufanya wazidi kuwasogelea liverpool fc ambayo inashika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ta England ikiongozwa na vijana wa Pep Guardiola Manchester City
13/03/2022
Ni kocha huyo wa klabu ya Yanga Sc akifuatilia mtanange wa Simba Sc dhidi ya RC Berkane hii leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa