15/10/2024
Happy birthday to me ! 🥳🥂🙏I am grateful for all the opportunities I've had to grow and develop this year. I am grateful for every door that was closed ,because was not right path for me.I am going to curve time out of all the busyness this coming year and quiet my mind.I am going to reflect on who I am and who i want to become. I will discover me.
04/07/2024
Yesterday's I attending the Summit of the future 2024 & Tanzania Development Vision 2050 Youth consultation at the United Nations, Dar es Salaam ISW_Official_tz
25/06/2024
Wana wa wa ustawi wa Jamii tukiwa Bungeni jijini Dodoma katika Mjadala wa bajeti kuu ya Serikali ya 2024/2025..Tunamkushukuru sana Mh.Abas Tarimba ,Mbunge wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kutupatia Mualiko wa kuweza kujumuika na wabunge Bungeni .tanzania
28/12/2023
Beware! HIV does not show on the faces..
17/12/2023
When you focus on the good, the goods gets better 💪🙏
03/12/2023
Ujumuishwaji unaanza na mtu binafsi Kila mtu Kwa nafasi yake awajibike katika kuwashirikisha watu wenye ulemavu
15/09/2023
Winning is important but you can't forget about improvement while competing ✍️✍️
10/09/2023
Timu ya Taifa ya wheelchair tennis ilipata nafasi ya kutembelewa na Mbunge Viti Maalum Riziki Said Lulida nchini Ghana kwenye Mashindano ya 1st African Para Games ,Accra 2023. Tunashukuru Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Mama yetu Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua na kujali michezo kwa watu wenye ulemavu .Hakika kazi iendeleee💪💪💪
09/09/2023
1st African Para Games Accra 2023 Insipire a better Africa
05/09/2022
Tanzania Girls Coding Camp by the United Nations Economic Commission for Africa , , and , mkomwa highlighting digital opportunities &encouraging girls to engage in to close existing digital gender gap in Tanzania 🇹🇿