Nollyonesports

Nollyonesports

Share

KWA MATANGAZO KWA WASILIANA NAMI 255681610202

05/07/2026

K**a unahisi mkewako anakuchiti au vipi wewe njoo huku kwenye page yetu ya mitandao huku natoa trik mbalimbali

Mfano:
Kuona SMS za mpenzi wako bila yeye kujua
Kuona namba zote zilizopigwa kwenye Sim ya mpenzi wako
Kutumia VPN ya bure k**a upo Tanzania inasoma upo nchi nyingine na hii ni k**a unataka utumie Telegram maana Tanzania Hairuhusiwi n. K

Follow page hiiπŸ‘‰ nolly one

05/07/2026

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Dsn Technology mkewako kajichetua huku mkubwa leo akirudi mlaze nje kabisa maana sio kwa mapenz haya ya mpira πŸ˜…

05/07/2026

Walikuja k**a Taifa dogo lenye watu 600,000/ ambao wachache kuliko wakazi 8,000,000 (8M) wa Dar es Salaam, hawakupewa hata nafasi kufika hatua ya makundi, wanaondoka k**a Mashujaa wa Kombe la Dunia na historia itawakumbuka.

Walikuja na Captain wao JOSIMAR JOSE EVORA DIAS β€œVozinha” Miracle-Wall ambaye mechi ya kwanza licha ya kiwango bora kiwanjani na kuwashangaza Spain, stori ya mamake kukosa pesa ya Visas ilizagaa kiasi yeye kuweka historia kwenye mtandao wa Instagram baada ya kuanza mechi akiwa na wafuasi 50,000/ TU lakini anaondoka akiwa na wafuasi 17M na mamake alikuja kuona mechi zlizosalia mpaka ya jana dhidi ya Mabingwa watetezi Argentina ya Messi.

Afrika imewakilishwa vyema na Cabo Verde na tuna mengi ya kujifunza kutoka kwao.

Ila huyu Dsn Technology anajua kuwakera watu jamani ebu tembeleeni page yake muoneπŸ˜‚

04/07/2026

πŸŽ‰ ASANTE SANA FAMILIA YANGU! β€οΈπŸ™

Leo tumefikisha 10,000 Followers! Hii si namba tu, bali ni ushahidi wa upendo, sapoti na imani yenu kwangu. Kila like, comment, share na follow yenu imenifanya nizidi kupambana kila siku.

Naahidi kuendelea kuwaletea content bora zaidi, hasa kuhusu mpira wa miguu. Safari bado ni ndefu, na ninafurahi kuwa mnaendelea kuwa sehemu yake.

Asanteni kwa kuniamini. Tunasonga mbele pamoja! ❀️πŸ”₯
πŸ“² Nifollow kwenye kurasa zangu zote: nolly one

03/07/2026

Ila huyu nolly one πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Muende mka mfollow jamani wanasimba

πŸ‘‰ nolly one

02/07/2026

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, PRINCE DUBE amesaini mkataba na timu ya Hardrock FC ya nyumbani kwao Zimbabwe kwa miaka miwili.

Prince Dube amesaini Hardrock FC baada ya kumaliza mkataba wake na Yanga SC.

Hardrock FC imepanda Ligi Kuu ya nchini Zimbabwe kwa msimu ujao na ni timu ambayo inamiliki uwanja wake mwenyewe mkubwa.

Kwenye picha hiyo ni mmiliki wa Hardrock FC na Prince Dube.

02/07/2026

πŸ₯ΆπŸ€·πŸ½β€β™‚️ "SHINIKIZO? MIMI NALIPENDA!"

🌟 Lamine Yamal amesema hafikirii shinikizo k**a tatizo, bali k**a sehemu ya wajibu wake uwanjani.

πŸ—£οΈ "Ninaelewa kwamba mwisho wa siku, mashabiki watakuwa na matarajio makubwa kwa mchezaji anayewapa matumaini na furaha zaidi, yule wanayeamini anaweza kubadili mchezo."

πŸ”Ÿ "Ninavaa jezi namba 10 ya Barcelona. Mimi ni winga ambaye watu wanaamini anaweza kubadilisha mchezo wakati wowote. Lakini hilo linanifurahisha. Niamini, mimi napenda kuwa chini ya shinikizo." 😏πŸ”₯

πŸ’¬ "Shinikizo linakuwa tatizo pale tu unaposhindwa kufanya kile ambacho watu wanatarajia kutoka kwako. Mimi naamini nina uwezo wa kufanya kile wanachotarajia kutoka kwangu." ❀️‍πŸ”₯

Follow πŸ‘‰ nolly one

01/07/2026

πŸ˜‚ πŸ˜‚ Watu hawachukui ubingwa hafi wamwage damu🀣

Acheni uchawi nyie makolo, aya sasa mshampa kidonda mtoto wa watu na msimu ujao wote atakaa benchi tuhπŸ™Œ

Wanasimba naomba mfollow page yangu mpya πŸ‘‰ nolly one

30/06/2026

Ameandika mchambuzi πŸ‘‰ nolly one

🚨Niliwahi kumsikia beki mmoja akisema kwamba ndio winga msumbufu kwenye ligi yetu, ila ata huyu ni winga msumbufu ambae anawapa wakati mgumu sana mabeki wa hizi timu za ligikuu mfano mzuri ni katika mechi ya derby ya kariakoo tuliona beki wa kushoto wa uto alivyopata shida kumkaba

Itoshe kusema hawa ndio mawinga bora wa msimu huu, k**a kuna wakubisha abishe akiwa na maelezo yaliyo nyooka

Na k**a hujaona hatari zao basi nenda kakaechini na beki wa kushoto wa utopolo muulize vizuri kuhusu πŸ˜€

Kwa uchambuzi mzuri follow page πŸ‘‰ nolly one

nolly one nolly one nolly one

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


Dar Es Salaam