14/04/2021
Man city ndio timu pekee iliyobaki UEFA ambayo haijafungwa msimu huu. Wanakibarua kizito Leo dhidi , je rekodi hiyo itabaki??
Majibu tutayapata SAA NNE usiku Leo hii
Kwa taarifa za michezo na burudani, mpya na za moto, tembelea Tiki sports
14/04/2021
Man city ndio timu pekee iliyobaki UEFA ambayo haijafungwa msimu huu. Wanakibarua kizito Leo dhidi , je rekodi hiyo itabaki??
Majibu tutayapata SAA NNE usiku Leo hii
01/04/2021
29/03/2021
Sergio kun aguero anaondoka man city mwishoni mwa msimu huu
Amefunga magoli 254 toka atimbe ligi ya uingereza 2011.
29/03/2021
Bruno: " Sasa blaza sikiliza, Mimi ndio mpiga penati nguli kwa sasa uliza EPL watakwambia show zangu, kwahiyo niachie."
Cr7: "Unasemaje wewe?"
26/03/2021
Unamtaka Erling Halaand?
Basi andaa £180. Hii itamfanya kuwa mchezaji wa pili ghali zaidi duniani baada ya Neymar Jr (£222).
Halaand means business to Borussia Dortmund
Ligi ya uingereza msimu wa 2021/2022 itaanza tarehe 14/8 na kumalizika 22/5/2022
24/03/2021
Tarehe na mwezi k**a wa Leo mwaka 2016 alifariki mwanasoka nguli wa uholanzi Johan Cruyff. Cruyff ambae amewahi kuzichezea na kufundisha klabu za Ajax na Barcelona. Ameshinda Ballon d'Or Mara tatu 1971,73 na 1974.
Pep guardiola na kocha wa sasa wa Barcelona Ronald Koeman ni Moja ya wachezaji waliofundishwa na Cruyff.
Philosophy na style yake ya mpira imekua na ushawishi mkubwa kati ya makocha wengi akiwemo kipara pep.
Nje na maisha ya soka, Johan Cruyff alikua anavuta sana sigara(20 kwa siku) hadi kumpelekea kufanyiwa upasuaji wa moyo mwaka 1991, na hapo ndipo alipoacha kula moshi.
R.I.P Johan Cruyff, the philosopher of Total football
22/03/2021
Xabi Alonso anaenda kuwa kocha wa borussia mönchengladbach msimu ujao kuchukua nafasi ya Marco rose anayetimkia borussia Dortmund.
Kabla alikua kocha wa Real sociedad B tangu 2019.
Karibuni tiki sports, sehemu pekee utakakopata taarifa mpya za kimichezo na burudani. Ni Nyumba mpya ya michezo!!