13/12/2025
Wahenga hawaamini ππ
Maestro
Kwa habali za michezo ndani na nje ya nchii utazipata hapa Sport kibingwa οΏ½
13/12/2025
Wahenga hawaamini ππ
Maestro
29/07/2025
Tanzania Super Start β
"Life will not always give u want, when you fail you learn, I grew up believing that failure is mother of all success β"
On Instagram βοΈ
Follow, π π π
14/01/2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu Leo JANUARY 14, 2025, nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
βοΈAndika Togs Media
Video tayali iko Kwenye You tube channel yetu, Twende tukaitazame
Media Media
12/01/2025
FT: Bravos 1-1 Simba SC
β½ Abednego 13'
β½ Ateba 69'
Simba SC imefuzu katika hatua ya Robo Fainali ya kombe la shirikisho ikifikisha alama 10 kwenye Kundi lao
25/12/2024
Merry Christmas to all our amazing fans! πβ¨ Thank you for your endless support and love throughout the year.
May your holiday season be filled with joy, love, and unforgettable moments!
God bless u π
15/12/2024
Neno Moja kwa Rasta Man Kibu Denis
Media Media
:SimbavsCSSfaxien
14/12/2024
Full-Time Drama! TP Mazembe 1-1 Yanga SC
Roho ya mapambano πͺ
Yanga SC wamefanikiwa kuibuka na sare ya dakika za mwisho dhidi ya wenyeji TP Mazembe katika mechi kali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mazembe walionekana kujiandikia ushindi baada ya kufunga bao la kuongoza kipindi cha kwanza, lakini "Wananchi" walikataa kukata tamaa na kuonesha roho ya mapambano hadi dakika za majeruhi.
Dakika ya 90+ walipata bao la kusawazisha kupitia mchezaji wao nyota Prince Dube
Bao hilo liliwafanya mashabiki wa Yanga kushangilia kwa nguvu, huku wakiwa wamepata alama ya muhimu kwenye uwanja mgumu wa Lubumbashi.
Je, sare hii ina maana gani kwa safari ya Yanga katika hatua ya makundi?
Tuandikie katika maoni, na usisahau ku-like na ku-subscribe kwa updates zaidi!
Media Media
11/12/2024
Ni Rasmi Mwenda ni Mwananchi .
Klabu ya Yanga wamemtambulisha Full back wa zamani wa Simba na Singida Black Stars Israel Mwenda !
30/11/2024
π
πππ ππππβ±οΈ |
Namungo FC 0-2 Young Africans SC
Yanga ya usindi imerudi Chonge mashabiki msiombe tena kucheza na malaikaππ
27/11/2024
FT: SIMBA 1-0 FC BRAVOR
Kuna mtu eti anasema muhimu Pointi 3 wakati timu imecheza vibaya π
26/11/2024
YANGA WAMEANZA HIVI DHIDI YA ORMDURMAN
23/11/2024
ππ ππ¨π¬π¨ πππ£π πππ’ π π£π¬π πͺπ π¦ππ ππ.
β‘οΈ Madam Zubeda Akokwenda JosephineπΉπΏ ambaye ameshawahi kufanya kazi Simba SC ofisi ya utawala ametangazwa k**a CEO mpya wa Simba Sports Club akichukua nafasi ya Regis kuanzia leo
Kaimu CEO mpya wa Simba Sc
Bi Zubeda Akokwenda Josephine alikua Mbunge wa zamani viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Media Media