Simba, Yanga kukutana Zanzibar
TUESDAY DECEMBER 15 2020

ADVERTISEMENT
Zanzibar. Jumla ya timu tisa ziwamo kutoka Tanzania bara na Zanzibar zinatarajiwa kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza mapema Januari 2021.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Omar Hassan (King) alibainisha hayo leo Desemba15, 2020 wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari huko Maisara Mjini Unguja.

Alisema Kati ya timu hizo, timu tano kutoka Tanzania bara ikiwamo ni Simba, Yanga, Azam, Namungo na Mtibwa huku kutoka Zanzibar ni timu nne ikiwamo Jamhuri, Chipukizi, Mlandege na Malindi.
"Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza Januari mosi au tatu, hiyo ni kutokana na utaratibu wa upangaji wa ratiba ya mashindano hayo, " amesema King

Selembe sport
Ukurasa huu unahusu habar mbalimbali za michezo na burudan
14/12/2020
Matokeo raund ya 32
14/12/2020
DROO YA UEFA CHAMPION LEAGUE
13/12/2020
13/12/2020
Azam FC yatoa ripoti ya Prince Dube
JUMAPILI , 13TH DEC , 2020
NA MWANDISHI WETU
Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube, aliyeenda Afrika Kusini kwa matibabu anatarajia kurudi nchini leo Desemba 13, 2020.

Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube
Dube ataondoka mjini Cape Town, saa 8:20 mchana, kwa ndege ya shirika la Kenya Airways, itayowasili Dar Es Salaam saa 5:45
13/12/2020
Kusini afariki Dunia
JUMAPILI , 13TH DEC , 2020
NA MWANDISHI WETU
Beki wa Mamelodi Sundowns Motjeka Madisha, amefariki akiwa na miaka 25. Taarifa zimeeleza kuwa Madisha amefariki kwenye ajali ya gari alfajiri ya leo Desemba 13, 2020 huko Johannesburg.

Beki wa Mamelodi Sundowns Motjeka Madisha
Madisha ameichezea Mamelodi zaidi ya mechi 130 na kushinda makombe matatu ya ligi kuu pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika na Super Cup.
Beki huyo ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa tegemeo kwenye mafanikio ya Mamelodi chini ya kocha Pitso Mosimane, ambapo mbali na ligi pamoja na klabu bingwa pia walishinda mataji mbalimbali k**a Telkom Knockout, the Nedbank Cup.
Pia nyota huyo ameichezea timu ya taifa ya Afrika Kusini akijihakikishia nafasi kwa miaka ya hivi karibuni.

Beki wa Mamelodi Sundowns Motjeka Madisha (kushoto) akikabana na Lionel Messi.
Motjeka Madisha pia alimkaba Lionel Messi kwenye mchezo wa kirafiki uliopigwa Mei 16, 2018 na kumalizika kwa Barcelona kushinda magoli 3-1.
13/12/2020
Mnyama mkali kuwakabili wasimamizi wa jiji la mbeya jeee Ni mnyama kuendeleza mawindo au mbeya city kukusanya mapato kwa matajiri wa jiji
Tukutane sa 10:00 jioni
13/12/2020
Ratiba ya VPL leo
13/12/2020
Tk master Yuko fiti
13/12/2020
Msimamo wa ligi kuu wanawake Serengeti lite #
Karibuni Sana kwenye uwanja wa burudan son tutakuletea habar mbalimbali za michezo na burudani
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam