cast__vag

cast__vag

Share

page yangu ni maalum kwa habari za michezo za ndani na nje ya tanzania �

17/09/2021

RASMI

Mechi mbili za kwaza za mkondo wakwanza wa LIGI YA MABINGWA AFRICA zimepatikana.

USGN 🇳🇪 vs 🇪🇬 Al Ahly
Jwaneng Galaxy 🇧🇼 vs 🇹🇿 Simba SC

26/03/2021

✍️ Goli bora la mwezi, Nadhan anaestahili zaidi ni LAMELA dhidi ya Arsenal

26/03/2021

✍️ Mchezaji bora wa mwezi

26/03/2021

👉Makocha wanaowania tuzo ya kocha bora wa mwezi Machi katika Ligi Kuu ya EPL.

👔 Potter
👔 Rodgers
👔 Solskjaer
👔 Tuchel

26/03/2021

Euro Mil 180

Borussia Dortmund wameweka bei ya Euro Milioni 180 kwa klabu yeyote ambayo inataka kuinasa saini ya mshambuliaji Erling Haaland msimu huu wa joto.

Klabu ambazo zinavutiwa na Haaland

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Manchester City
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Manchester United
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea
🇪🇸 Real Madrid
🇪🇸 Barcelona
🇩🇪 Bayern Munich

Source : ESPN

26/03/2021

Zambia 🇿🇲
DR Congo 🇨🇩
Tanzania 🇹🇿
Angola 🇦🇴
Kenya 🇰🇪
Togo 🇹🇬

👆 Hizi ndio nchi zilizoshindwa kutinga AFCON.

25/03/2021

👉 EPL kuanza kutimua vumbi Agosti 14.

Ligi Kuu ya Uingereza msimu wa 2021/22 utaanza Agosti 14 na kumaliza Mei 22.

25/03/2021

✍️Kufuzu Afcon

FT South Africa 🇿🇦 1-1 🇬🇭 Ghana
FT Gabon 🇬🇦 2-0 🇨🇩 DR Congo
FT Gambia 🇬🇲 1-0 🇦🇴 Angola
FT Kenya 🇰🇪 1-1 🇪🇬 Egypt
FT Botswana 🇧🇼 0-1 🇿🇼 Zimbabwe

25/03/2021

Full time

Kenya 1-1 Egypt
✍️ Majirani zetu wameondolewa kwenye mashindano yakishiriki AFCON


25/03/2021

👉 Kila la heri Taifa stars

25/03/2021

✍️ Nan anakua bingwa msimu wa 20/21 wa LaLiga

25/03/2021

👉 mechi za kufuzu kombe la dunia

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam