30/05/2026
PSG mabingwa UEFA Champions League
HABARI NA MATUKIO YA MICHEZO
30/05/2026
PSG mabingwa UEFA Champions League
28/05/2026
Baada ya zaidi ya miaka 14 nyota wa Barcelona timu ya wanawake Alexia Putellas Segura ambaye ni kipenzi cha wnaa Barcelona kwa muda mrefu kiasi kwamba wanamuita "La Reina " yaani Malkia wao ameaga Rasmi kuondoka klabuni bapo
Alexia ana Ballondi'or 2 na umri wa miaka 32 sasa .
Kipenzi chao anaondoka sasa na kuwaacha na majonzi 😔
27/05/2026
Jaen Philippe Mateta 14 📸
27/05/2026
Crystal Palace mabingwa wa Conference League 🏆
CRYSTAL PALACE FC 🏴 1-0 RAYO VALLECANO 🇪🇸
⚽️-50 Mateta
22/05/2026
WANANCHI WALEEEEEEEEEE
FT: YANGA SC 3-0 SINGIDA BLACK STARS
13’—⚽️ Allan Okello
42’—⚽️ Mudathir Yahya
69’—⚽️ Allan Okello
21/05/2026
Cristiano Ronaldo amefunga magoli mawili na kuisaidia Al Nassr FC kutwaa ubingwa wa Saudi Pro League kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Damac FC kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi hiyo iliyotamatika leo.
Al Nassr FC imetwaa ubingwa huo wa 11 kihistoria kwa mara ya kwanza tangu ujio wa Ronaldo klabuni hapo ikiwa ni ubingwa wao wa kwanza tangu msimu wa 2018/19.
FT: Al Nassr FC 4-1 Damac FC
⚽ 34' Mane
⚽ 54' Coman
⚽ 63' Ronaldo
⚽ 81' Ronaldo
⚽ 58' Sylla (P)
FT: Al Fayha 0-1 Al Hilal
⚽ 04' Mandash
MSIMAMO: Saudi Pro League
1. Al Nassr FC — pointi 86
2. Al Hilal — pointi 84
3. Al-Ahli — pointi 81
4. Al Qadsiah — pointi 77
21/05/2026
MNYAMA KAPANDA KILELENI MWA LIGI
FT: Coastal Union 1-2 Simba SC
⚽ 08' Maabad
⚽ 37' Gueye (🅰️ Chama)
⚽ 43' Oura (🅰️ Chama)
20/05/2026
ASTON VILLA MABINGWA UEFA EUROPA LEAGUE
FT: FREIBURG FC 0-3 ASTON VILLA
⚽️ 41 Tielemans
⚽️ 45+3 Buendia
⚽️ 57 Morgan Rogers
20/05/2026
Klabu ya Zamalek SC ya Misri imetwaa ubingwa wa Ligi kuu ya soka Nchini humo kwa mara ya 15 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Ceramica Cleopatra na kumaliza kileleni mwa msimamo wa Ligi hiyo wakiwa na alama 56.
Mabingwa mara 45 wa Ligi hiyo, Al Ahly wamemaliza nafasi ya tatu wakifikisha alama 53, nafasi inayowalazimu kushiriki Kombe la Shirikisho msimu ujao.
Mabingwa wapya Zamalek na Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Pyramids wamefuzu kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao.
FT: Zamalek 1-0 Ceramica Cleopatra
FT: Pyramids 2-1 Smouha
FT: Al Masry 0-2 Al Ahly
MSIMAMO 🔝 4️⃣
1. Zamalek — pointi 56
2. Pyramids — pointi 54
3. Al Ahly — pointi 53
4. Cleopatra — pointi 44
16/05/2026
MANCHESTER CITY BINGWA WA FA CUP 25/26