28/06/2024
My plan was not to fight but after losing many important things, i returned to the street. I kept having problems, so I told my uncle, 'I am ready to fight now. take me to Bocca Boxing Club I'm ready.'
Mpango wangu haukuwa kupigana lakini baada ya kupoteza vitu vingi muhimu, nilirudi mtaani. Niliendelea kuwa na matatizo, hivyo nikamwambia mjomba wangu, βNiko tayari kupigana sasa. nipeleke
Niko tayari.'
20/11/2023
Nashukuru mungu kwa afya Nzuri
Na utimamu wa kutosha
Tarehe 24th December
At kimara korogwe 'white house hall
13/10/2023
Bocca Boxing Club. Tupopamoja sana.ππ½π₯
29/09/2023
π
Allah azidi kubariki kazi ya mikono yangu
Allah azidi kuibariki team yangu bocca gym
Allah azidi kuibariki πΉπΏ
__π π__
_____π₯π₯ π₯π₯____
29/09/2023
Bocca Gym Kambi Moto!π₯VITASA FACE-OFF : brah Mafia vs Said
Abbas pambano lipo..
Ni kuelekea Usiku wa Viwango kesho Septemba 29,
LIVE
31/07/2023
Tuna weka mipango ya kambi pamoja. Tunawakubali na coaches na boxers. ππ½π€²π½
10/07/2023
Bocca boxing club Kambi Moto . Asante Mungu kwa vipaji ulivyo tupa na kuchukuwa wakali wa boxing wa kitaa lilikuwa si jambo dogo na atunaga dogo ulipo ww sisi ndiyo wakali wako wa kitaa . Kukaa kimya nayo dawa ? Choma kichaka inaendelea wapinzani wakaeje ?????
11/05/2023
Fanya mazoezi ya tumbo kila siku πͺπ½π₯
22/04/2023
Tunatuma maombi na baraka kwa mabingwa na makocha wetu leo. Kazi Kazi!