SokaPalace

SokaPalace

Share

KARIBU KWENYE IKULU YA SOKA

23/04/2023

Sikiliza tambo za mashabiki wa Simba baada ya kuibuka na ushindi jana.

21/04/2023

Timu kwa nchi zilizosalia katika nusu fainali ya Uropa:

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Italia: 5 (Fiorentina, Juventus, Roma, Inter Milan, AC Milan)
๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Uingereza: 2 (West Ham, Man City)
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Uhispania: 2 (Sevilla, Real Madrid)
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Ujerumani: 1 (Leverkusen)
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ Uholanzi: 1 (AZ Alkmaar)
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ญ Uswizi: 1 (Basel)

21/04/2023

Inter (UCL)โœ…
Milan (UCL)โœ…
Roma (UEL)โœ…
Juve (UEL)โœ…
Fiorentina (UECL)โœ…

Italia imeingiza timu tano kwenye hatua ya nusu fainali katika mashindano ya Ulaya ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น

21/04/2023

Sevilla (2018), Barcelona (2019), Sevilla (2020), Villarreal (2021), Atlรฉtico Madrid (2022), Sevilla (2023).

Kwa mara ya 6 mfululizo klabu kutoka La Liga inaiondoa Manchester United.

20/04/2023

Ikitokea Aishi Manula anakosekana mechi vs Wydad CA robo fainali ya , nani ungependa kumuona langoni ?ALLY SALIM 'M au KAKOLANYA

20/04/2023

๐Ÿซ  Michezo 17 ya mwisho ya Frank Lampard k**a meneja:

โŒ Lost 2-1
โŒ Lost 2-0
โŒ Lost 1-0
โŒ Lost 2-0
โŒ Lost 2-1
โŒ Lost 3-1
โŒ Lost 4-1
๐Ÿค Drew 1-1
โŒ Lost 2-1
โŒ Lost 3-0
โŒ Lost 4-1
โŒ Lost 2-0
๐Ÿค Drew 0-0
โœ… Won 3-0
โŒ Lost 1-0
โŒ Lost 2-0
โŒ Lost 2-1
โŒ Lost 2-0

20/04/2023

Mchezaji wa kimataifa wa Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Fiston Mayele amefichua kwamba mchezaji wa Simba Sc Mzamiru Yassin alimpigia simu baada ya mechi na kumuona radhi kwa rafu ambayo alimchezea huku akisema haikuwa makusudi.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Dar Es Salaam