04/07/2026
djigui Diarrรก ndiye kinara wa hati safi (Cleansheet) kwenye NBC Premier League ๐น๐ฟ ya National Bank of Commerce msimu wa 2025/26.
Tanzania Football Federation NBC Premier League ๐น๐ฟ National Bank of Commerce Azam Sports TBC DIGITAL JUST FIT SPORTS
30/06/2026
๐จ ๐ Get Well Soon Pacome Zouazoui.๐จ๐ฎ๐
27/06/2026
๐
๐โ|
Young Africans SC 3๐0 TRA United
24/06/2026
๐
๐โ|
Young Africans SC 3๐0 Azam FC
31/01/2026
Rasmi Yanga Sc imemtambulisha Buba Jammeh k**a mchezaji wao mpya akitokea katika klabu ya Interclube ya nchini Angola. โ๏ธ
15/01/2026
Wananchi๐ฐ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐
04/01/2026
Mwamuzi Boubou Traore kutoka Mali ameikosesha Taifa Stars fursa ya kupata bao la kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti baada ya 'kumeza filimbi' pale ilipobidi kutoa adhabu baada ya mshambuliaji wa Stars, Iddi Nado kusukumwa ndani ya 'box' la Morocco dakika za jioni kabisa wakati wenyeji hao wakiwa mbele 1-0.
Licha ya shinikizo kutoka kwa wachezaji na benchi la ufundi la Taifa Stars wakimtaka REFA huyo akaangalie tukio hilo kwenye VAR, lakini Mwamuzi 'Bubu' aliendelea kuwa bubu na kuendeleza mchezo huo uliomalizika kwa Stars kutolewa isivyo haki.
Tukio lile Duniani kote ni 'tuta' la wazi kabisa lakini Boubou Traore aliamua kulifumbia macho tena mbele ya Rais wa CAF, Patrice Motsepe na Rais wa FIFA, Gianni Infantino waliokuwepo katika dimba la Prince Moulay Abdellah mjini Rabat kushuhudia mtanange huo.