Mtu Mbadi

Mtu Mbadi

Share

Ukurasa wa michezo na burudani

19/04/2021

Huu sio mwili wangu Yanga wamenikondesha sana- Dullah Makabila

Neno moja kwake

18/04/2021

Anasema Tumpe salamu Dube

Imekuwa ni vita ya Bocco , Kagere , Dube na Idd Nado Nyota wanne kutokea Simba Na Azam katika vita ya kuwania tuzo ya mfungaji bora.

Ikumbukwe Kagere amekuaa mfungaji wa VPL mfululizo je Atatwaa tena msimu huu..?
Dube naye amekuja na style ya kipekee kila mtu ashinde mechi zake..πŸ˜†

All in All Bocco ndo mfungaji wa mda wote wa VPL

Karata yako unaitupa kwa nani katika hii vita

15/04/2021

Mechi 3 za Yanga mwezi huu kabla ya kukutana na Simba.

Unahisi Wanainchi wataendelea kuwa na Bundi au Gari litawaka Mara tarehe17/4 ?

15/04/2021

kitaalam tunaitaje 😁

Fraga Atarejea Muda wowote msimbazi na Simba Tayari ina Lwanga unahisi nani atakua anamueka bench mwenzie

14/04/2021

Inategemea Ntu na Ntu
Air Msumbiji ikielea angani..😁

Sio CAF tu ata VPL mwamba Amekua Adui wa timu pinzani kila ukikutana na Simba.

Mpambanaji mwenye kipaji hil halina ubishi

Mpe neno moja konde boy 😁

14/04/2021

Chama anasema Hawasikiii..😁

Kuna yoyote ambaye bado anawasiwasi na kiwango cha huyu mwamba .?
Soka flani la taratibu k**a hataki ila ukijisahau tu kakuadhibu

Ameifanya simba itulie iwe k**a ipo mazoezini leo😁

Kwenu mnamuitaje..?

14/04/2021

Kagere anasema hawaoni 😁

Top scorer (10 goals)
Leo mwamba Ameingia kambani mara mbili nakusaidia kuipa ushindi Timu yake wa goli tano(5-0) dhidi ya mtibwa.

Vipi Next match aanze au ampishee Mugalu..?

14/04/2021

VAR kwa Mkapa.

Shilikisho la Soka barani Afrika CAF Limepitisha matumizi ya Teknolojia ya Video Asistance Referee (VAR) kuanzia hatua ya Robo fainali ya Mashindano hayo.

Awali Teknolijia hiyo Barani Afrika ilikuwa ikitumika katika mchezo wa Fainali pekee.

Kufuatia hatua hiyo ya CAF ni moja kwa moja kuwa uwanja wa Kumbukumbu ya Mkapa unaotumiwa na Simba Utakuwa ni miongoni Mwa viwanja vitakavyo Tumia VAR katika hatua hiii.

Hii inaenda kuleta Sura gani kwa Miamba ya Soka Afrika ambayo imefuzu hatua ya Robo fainali.

Nini maoni yako
πŸ‘‰ je Sheria zitaenda kupindishwa na baadhi ya Vilabu kunymwa haki zao..?
πŸ‘‰ Au tutarajie haki na usaidizi mzuri kwa muamuzi wa kati ?

14/04/2021

Mabingwa wa kihistoria πŸ˜†

Hii nimelitafakari nimekosa majibu
πŸ‘‰ ni utani k**a tulivyozoea kuwa Simba na Yanga Wanataniana always ..?
πŸ‘‰Au ndo k**a ile ya kuchafua brand...?

Ya Ngoswe Muachie Ngoswe

Follow soso

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Migos
Dar Es Salaam