18/06/2025
Pacome bado hajasaini mkataba na Yangq Sc licha ya Yanga Sc kumuita mezani lakini ameuambia uongozi usubiri mpaka msimu utakapo tamatika
Lakini pia kambi ya Pacome imepokea ofa kubwa kutoka kwa Simba Sc ili kuweza kupata huduma ya mchezaji huyo raia wa Ivory Coast
10/06/2025
Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) wamekanusha taarifa ya meneja habari na mawasiliano wa Yanga Sc Ali Kamwe kuwa klabu yao inaidai TFF bali ni TFF ndio wanaoidai Yanga Sc
10/06/2025
🚨| UPDATE: IBRAHIMA KEITA
- Klabu ya Yanga SC imewasiliana na Menejimenti ya beki wa kulia wa TP Mazembe, Ibrahima Keita (24) na mazungumzo rasmi yameanza
- Keita anamaliza mkataba wake na TP Mazembe mwishoni mwa msimu huu, pia Esperance de Tunis wanavutiwa na huduma yake.
10/06/2025
🚨| UPDATE: KIBU DENIS PROSPER
✍🏻Klabu ya Simba SC imewasiliana na klabu ya Kaizer Chiefs kuwa haitafanya biashara ya kumuuza winga wao Kibu Denis (26) kwenda Amakhosi
Simba SC imeeleza kuwa hawana nia ya kumuachia mchezaji huyo kwakuwa bado wana malengo nae kwa msimu ujao.
20/12/2022
CATCH THEM IF YOU CAN
Yanga wanashinda mechi ya nne mfululizo baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Ihefu
Huyu lomalisa aseee k**a wamemtia ndimu anazidi kunoga tu kila uchao anakila sifa za beki wa pembeni tena wa kisasa alikuwa na Top performance sana leo
Mayele anaendeleza alipoishia goli mbili safi anafikisha jumla ya mabao 13 , Aziz ki anatoa Assit 2 na Top performance
Fei toto anadhidi kujiongezea thamani leo kafunga bao moja na kufikisha mabao sita na assit mbili