Utamu wa soka Tz

Utamu wa soka Tz

Share

Taarifa na uchambuzi wa soka

Photos from Utamu wa soka Tz's post 10/11/2025
27/10/2025
17/06/2025

Mshambuliaji wa sporting SP Alejandro Gyokeres aikataa manchester united baada ya kuiona timu hiyo haina uelekeo mzuri katika michuano mbalimbali ikiwemo uefa champions league
Miamba hiyo iliyochini ya kocha Ruben Amorim haijajulikana wana agenda gani kwa msimu ujao ambao unamichuano mingi kwelikweli. Lakini arsenal wanaonekana kumnyatia nyota huyo japokuwasi rasmi kwamba Mikel Arteta anamtaka

01/09/2021

Mshambuliaji Paul Nonga(BabaParoko) amejiunga na klabu ya Mbeya City akitokea Gwambina iliyoshuka daraja .

01/09/2021

Mchezaji wa Leeds United na timu ya taifa ya Uingereza kiungo Kelvin Phillips amechukua tuzo ya mchezaji Bora kwa msimu wa mwaka 2020/21 wa timu ya taifa ya Uingereza kwa wanaume.

01/09/2021

Mchezaji Enock Jiha amejiunga na Mbeya Kwanza akitokea Ihefu ya huko Mbalari Mbeya .Mbeya Kwanza inaonekana kuzidi kujiimarisha kwa kufanya usajili wa wachezaji mbalimbali Ili kujiandaa na msimu mpya wa ligi

31/08/2021

Wachezaji wa nne wa Arsenal The Gunners wameripotiwa kuwa na mapenzi ya jinsia moja(Homosexual). Wachezaji hao ni pamoja na Martin Odeegard, Hector Bellerin,Alexander Lacazette na Nicholas Pepe.

31/08/2021

Beki kisiki wa kati wa Ujerumani Jerome Boateng 35 amejiujga na klabu ya Olympic Lyon k**a mchezaji huru baadae ya kumaliza mkataba na Bayern Munich ( The Bavarians)

31/08/2021

Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Sport Sp ya Ureno Nuno Mendes amejiunga na klabu ya Paris Saint German (The PERISIANS') kwa ada ya euro million 40. PSG wameongeza mchezaji huyo kuleta changamoto kwa Rainiel Kurzawa na Benat ambao wanaonekana kusuasua msimu huu.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


9533
Dar Es Salaam