Sports Updates

Sports Updates

Share

Karibu sana katika kituo chetu cha Habari za Michezo na Burudani za hapahapa Tanzania na Ugaibuni⚽⚽

10/08/2025

🚩 𝐒𝐎𝐌𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐀𝐋𝐀 𝐇𝐀𝐘𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐂𝐇𝐄𝐙𝐎 (𝐓𝐚𝐫𝐢𝐟𝐚 𝐳𝐚 𝐔𝐬𝐚𝐣𝐢𝐥𝐢) 𝐙𝐈𝐋𝐈𝐙𝐎 𝐊𝐀𝐌𝐈𝐋𝐈𝐊𝐀 𝐁𝐀𝐑𝐀𝐍𝐈 𝐔𝐋𝐀𝐘𝐀 𝐒𝐈𝐊𝐔 𝐘𝐀 𝐉𝐀𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐌𝐀𝐌𝐎𝐒𝐈 𝐀𝐔𝐆𝐔𝐒𝐓 09.2025 👇👇

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Al Hilal wamemsaini mshambuliaji Darwin Núñez kutoka Liverpool kwa ada ya €53M!. ☑️🤍💙

Source: [ Al Hilal ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Al Ahli wamemsaini kiungo wa kati Enzo Millot kutoka Stuttgart kwa ada ya €28M!. ☑️🤍💙

Source: [ Al Ahli ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: KRC Genk wamemsaini Junya Ito kutoka Stade Reims kwa ada ya €2.8M!. ☑️🤍💙

Source: [ KRS Genk ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: FC Nantes wamemsaini mshambuliaji Amady Camara kwa mkopo wa msimu mzima na chaguo la kuongeza msimu mmoja zaidi kutoka Sturm Graz. ☑️🖤🧡

Source: [ FC Nantes ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Hull City wamemsaini mshambuliaji Joe Gelhardt kwa mkopo wa msimu mzima pamoja na chaguo la kuongeza msimu mmoja zaidi kutoka Leeds United. 🖤🧡

Source: [ Hull City ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: PSG wamemsaini Golikipa Lucas Chevalier kutoka LOSC Lille kwa ada ya €40M!. ☑️🤍💙🤑

Source: [ Paris Saint-Germain ] (psg).

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Sassuolo wamemsaini Beki Jay Idzes kutoka Venezia kwa ada ya €8M! ☑️🤍🧡🤑

Source: [ Sassuolo ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Strasbourg wamemsaini Beki Lucas Høgsberg kutoka Nordsjaelland kwa ada ya €15M!. ☑️🤍💙🤑

Source: [ Strasbourg ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Stade Brest wamemsaini Golikipa Radoslaw Majecki kwa mkopo na chaguo la kuongeza msimu mmoja zaidi kutoka AS Monaco. ☑️🤍🩵

Source: [ Stade Brest ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: West Ham wamemsaini Golikipa Mads Hermansen kutoka Leicester City kwa ada ya £18M!. ☑️🤍❤️💰

Source: [ West Ham United ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: RCD Mallorca wamemsaini mshambuliaji Mateo Joseph kwa mkopo wa msimu mrefu kutoka Leeds United. ☑️🖤🤍❤️

Source: [ RCD Mallorca ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Colorado Rapids wamemsaini Winger Alexis Manyoma kwa mkopo kutoka Estudiantes hadi July 2026. ☑️🤍❤️

Source: [ Colorado Rapids ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Fluminense wamemsaini Kiungo wa kati Luciano Acosta kutoka FC Dallas kwa ada ya €3.4M!. ☑️🤍❤️🤑

Source: [ Fluminense ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ajax wamemsaini Beki Ko Itakura kutoka Borussia Monchengladbach kwa ada ya €10.5M!. ☑️❤️🤍🤑

Source: [ AFC Ajax ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: AS Monaco wamemsaini Golikipa Lukas Hradecky kutoka Bayer Leverkusen kwa €3M!. ☑️❤️🤍🤑

Source: [ AS Monaco ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Botafogo wamesaini Golikipa Neto kwa uhamisho wa bure kutoka Bournemouth. ☑️🤍💙

Source: [ Botafogo ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Man United imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji Benjamin Seško kutoka RB Leipzig kwa ada ya €76.5M! na nyongeza ya €8.5M! Kwa mkataba wa miaka Mitano hadi June 2030. ✅️🤍♥️🔐

Source: [ Manchester United ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Losc Lille wamemsaini Beki Romain Perraud kutoka Real Betis kwa ada ya €3M!. ☑️❤️🤑

Source: [ Losc Lille ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Kiungo wa kati wa Valencia Javi Guerra amesaini mkataba mpya katika klabu hiyo, ametia saini kwa mkataba miaka Minne hadi June 2029. ☑️❤️🤍

Source: [ ]

🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya FC Köln Wamemsajili Beki Cenk Özkacar kwa mkataba wa Mkopo wa msimu mzima kutoka Valencia. ☑️🤍❤️

Source: [ FC Köln ]

FOLLOW US.

21/11/2023

... 🚨 | RADHI JAIDI MBIONI KUTUA SIMBA

Simba SC imeshindwa kufikia makubaliano kuhusu mshahara na aliyekuwa kocha wa klabu ya USM Alger, Abdelhak Benchika.

Sasa wamehamishia nguvu kwa aliyewahi kuwa kocha wa Esperance, Radhi Jaidi 🇹🇳

Mazungumzo yanaenda vizuri, dili lkitiki atatambulishwa muda wowote kuanzia leo.

21/11/2023

KI NDANI

Stephanie Aziz Ki yupo ndani kwenye kikosi kinachoanza dhidi ya Ethiopia kwenye mashindano ya kusaka tiketi ya kushiriki fainali za kombe la Dunia 2026

21/11/2023

Kylian Mbappé: "Lionel Messi alilazimika kushinda Ballon d'Or, alishinda Kombe la Dunia, ni mmoja wa bora zaidi katika historia, ikiwa sio bora kwangu.

.. Erling Haaland alikuwa na msimu mzuri, mimi pia, lakini karibu na kushinda Kombe la Dunia haina uzani mwingi. Usiku wa tarehe 18 Desemba nilijua kuwa nimepoteza Kombe la Dunia na Ballon d'Or pia. Leo alistahili."

31/10/2023

🚨 Marcus Rashford alishiriki katika klabu ya usiku baada ya kushindwa kwa Manchester United kwenye derby - saa chache kabla ya kuripoti kwa mazoezi Jumatatu asubuhi.

(Chanzo: )

Hii ManU ina matatizo makubwa sanaaa✍️✍️✍️

28/08/2023

CAF Champions League Qualification - Second Round Fixtures

Hafia 🇬🇳 vs 🇲🇦 Wydad
AS Douanes 🇧🇫 vs 🇹🇳 Espérance
Bo Rangers 🇸🇱 vs 🇩🇿 CR Belouizdad
Medeama 🇬🇭 vs 🇬🇳 Horoya
Saint George 🇪🇹 vs 🇪🇬 Al Ahly
APR 🇷🇼 vs 🇪🇬 Pyramids
Bumamuru 🇧🇮 vs 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
Power Dynamos 🇿🇲 vs 🇹🇿 Simba SC
UD Songo 🇲🇿 vs 🇦🇴 Petro de Luanda
Big Bullets 🇲🇼 vs 🇨🇩 TP Mazembe
Ahly Benghazi 🇱🇾 vs 🇨🇮 ASEC Mimosas
Etoile Sahel 🇹🇳 vs 🇲🇦 ASFAR
Real Bamako 🇲🇱 vs 🇲🇷 FC Nouadhibou
Primeiro de Agosto 🇦🇴 vs 🇸🇩 Al Hilal
Al Merrikh 🇸🇩 vs 🇹🇿 Young Africans
Jwaneng Galaxy 🇧🇼 vs 🇿🇦 Orlando Pirates

28/08/2023

THANK YOU YAMFIKIA BANDA SIMBA

Klabu ya Simba imetangaza kuachana na Mchezaji wake, Peter Banda ambaye ni Raia wa Malawi. Banda ameitumikia Simba SC kwa muda wa misimu miwili toka aliposajiliwa Agosti, 2021.

Kipi kilikuvutia zaidi toka kwa Banda?

28/08/2023

SUPPER LEAGUE HII🤓🤓

Asec Mimosas Sio Shda Zao,Wamefuzu hatua inayofuata ya michuano ya Club bingwa Afrika kwa Kuwachapa Coton Fc🇧🇯 Bao 2️⃣➖0️⃣

Watacheza na Al Ahly Benghazi ya Libya katika Round Inayofuata kusaka Ticket ya Kuingia Hatua ya Makundi.

Al Ahly Benghazi Yeye amefuzu kwa Kumuondosha Enyimba Ya Nigeria Kwa Ushindi wa Jumla wa Bao 4️⃣➖3️⃣

Ni Ushindi Uliopatikana Mechi Ya kwanza iliyochezwa Libya,Wakati kila mtu akiamini Enyimba anamaliza Shughuli Nyumbani akalazimishwa sare tasa.

NB:Hawa Enyimba Super League Cjui huko wataenda kufanya nini 😅

⚽⚽

28/08/2023



MANENO YA KOCHA MKUU WA YANGA KWELEKEA MCHEZO WAO WA KESHO

“Licha ya kwamba mpinzani wetu tunajua ni timu iliyopanda daraja, najua kwamba wana wachezaji wenye uzoefu kwenye ligi hivyo hatupaswi kuichukulia k**a timu dhaifu au ngeni kwenye ligi, ni wageni kwa maana ya timu lakini wana idadi kubwa ya wachezaji wenye uwezo lakini sisi ni timu kubwa na tupo nyuma nafikiri kesho tunapaswa kujiamini na kufunga magoli mengi"


28/08/2023

AL MERREIKH WAMESH*TUKIA MCHONGO WA YANGA WABADIRI UWANJA WA NYUMBANI

🏟️Al Merreikh vs Yanga 🔰

Mechi ya CAF Champions League kati ya Al Merreikh na Yanga itapigwa mjini Marrakech, Morocco 🇻🇳 .

Al Merreikh wameamua kuondoka Rwanda 🇷🇼 Kwa sababu wanahisi Yanga atakuwa nyumbani tuu 😁 .

Rwanda na Tanzania 🇹🇿 ni ndugu tuu hivyo Wananchi kila Kona wapo hata huko Morocco tupo pia

Yanga wao wamepania sana Msimu huu kufanya vema. Wakijiwekea ahadi ya kufika Makundi k**a alivyosema Msemaji wao ALLY SHABANI KAMWE🎤

14/09/2022



Ni kuelekea mchezo kati ya Simba Sc dhidi ya Tanzania Prison

⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

13/09/2022



Nimapumziko mchezo kati ya Yanga Sc dhidi ya Mtibwa Sugar Fc uku Mwenyeji Yanga akiwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya mgeni wake Mtibwa Sugar

Unadhani dakika 45 zilizosalia Mtibwa ataweza kujikomboa au Yanga ataendeleza ubabe??

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam