MAKOCHA WALIOCHEZA FAINALI NYINGI CLUB BINGWA ULAYA.
George Ambangile
σ±’ Kwa Uchambuzi SUBSCRIBE YouTube link hapo chini
https://www.youtube.com/channel/UCsvfVjuhhTHCAr
Comments ziwe fupifupi. Arsenal Bingwa. π€£
π¨ ππ₯πππππ‘π: Chelsea FC imethibitisha kumfuta kazi kocha wake mkuu Liam Rosenior kutokana na mwenendo mbaya. π.
CITY BINGWA.
City 2-1 arsenal
City3-0crystal palace
City3-0burnley
City2-1everton
City2-1burnley
City2-0bournmouth
City2-1aston villa
Msiseme hamkuambiwa. π€£ π€£
π " Kuamua kuondoka si jambo rahisi, Ulikuwa wakati mzuri zaidi katika maisha yangu Daima Liverpool itakuwa nyumbani kwangu mimi na Familia yangu, Nitakuwa mmoja wenu siku zote za maisha .
" Asante kwa kila kitu Daima sitawahi kutembea Pekee Yangu"πͺπ¬β€οΈ
π£ Mohamed Salah:
.
Mohammed Salah ametangaza kwamba anaondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu .!
Salah ameitumikia Liverpool kwa muda wa miaka 9 akitua Anfield mwaka 2017 akitokea AS Roma ya nchini Italia kwa pauni milioni 36
Katika umri wa miaka 33 anafunga pazia la Anfield
435 games
255 goals
119 assists
Liverpool wanatajwa kumuwinda winga ww Bayern Munich Michael Olise kuwa mrithi wa Salah .!
Katika kipindi ambacho soko la viungo linaenda kuwa kubwa basi ni katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi yanayokuja 2026 . Viungo wapo wengi , umri mzuri , wenye sifa tofauti tofauti lakini pia bila kusahau bei zao lazima zitakuwa zimechangamka sana
1: Bruno Guimaraes - Newcastle United
2: Sandro Tonali - Newcastle United
3: Elliot Anderson - Notts Forest
4: Adam Wharton - Palace
5: Carlos Baleba - Brighton
6: Matheus Fernandes - West Ham
7: Joao Gomes - Wolves
8: Manuel Locatelli - Juventus
9: Pablo Barrios - Atletico Madrid
10: Manu Kone - AS Roma
11: Eduardo Camavinga - Real Madrid
12: Lamine Camara - Monaco
13: Exequiel Palacios - Leverkusen
14: Felix Nmecha - Dortmund
15: Lucien Agoume - Sevilla
16: Angelo Stiller - Stuttgart
17: Aleksandar StankoviΔ - Club Brugge
18: Ederson - Atalanta
Hao ni wale viungo wa kati kabisa achana na wale shilingi 10 hapo ni mseto wa shilingi 6 na 8 .!
HELA YAKO TU HAPO NA MAHITAJI YAKO NA MCHEZAJI AKUBALI KUJA KWAKOππ
Kuna ambaye amesahaulika hapo ?
Arne Slot
π¨π¨ Cole Palmer amefunga mabao 3 pekee ya Premier League ambayo sio ya penalty ndani ya miezi 14 iliyopita. π²
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam