24/08/2025
Duuuh🥺🥺🥺
Huyu straika mbona k**a wamepigwa Hawa United.
habari za michezo na burudani kila siku follow me the Instagram @candrevajunior21
24/08/2025
Duuuh🥺🥺🥺
Huyu straika mbona k**a wamepigwa Hawa United.
24/08/2025
24/08/2025
Ibenge apata ushindi wake wa kwanza tangu ajiunge timu ya Azam Football club k**a kocha mkuu wa kikosi hiko
Win - 1
Draw -1
Lose -1
24/08/2025
CUTT OF THE ELECTRICITY
Anaitwa Lucas Torro huyu ndio kiungo anaenivutia zaidi kwasasa katika La Liga 🇪🇸
Ana Kila kitu ambacho anastahili kuwa nacho namba sita kwenye mpira wa miguu..
Ana umri wa Miaka 31 lakini k**a mtoto wa 2000 anavosaga.
Kwa Club Atlético Osasuna – Nimetambuliwa sasa hivi k**a mmoja wa mashabiki wake bora!
24/08/2025
Hivi wadau bei halisi ya hii kit ni 4,500 au 45,000?
23/08/2025
Duuuuh..!
Unamuacha LADACK Chasambi
Unamuacha OFFEN Chikola
Unamuacha Kelvin Nashona
Kwa timu Ile ya majungu tume deserve kuishia tulipoishia
20/08/2025
Axel witsel akitambulishwa na Girona k**a mchezaji wao mpya
20/08/2025
Hili
Forza Stars
20/08/2025
Taarifa kwa Uma
20/08/2025
"Mimi Ninaona Damarro Mohammed Camara ndie alipaswa kuwa replacement ya Jinja Maestro na sio M***a"
junior
Mchambuzi wa soka