WE ARE BACK SPORT Sports Datum
Sports Datum
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sports Datum, Sports, Dar es Salaam.
Ni ukurasa maalumu wa kimichezo ambao umejikita katika kutoa taarifa/habari za kimichezo k**a vile ratiba,matokeo,uchambu*i,tetesi za usajili ulimwenguni pamoja na makala mbalimbali kuhusu wachezaji,timu zao na maisha ya nje na michezo yao kwa ujumla.
01/10/2022
Ratiba ya Simba SC mwezi wa 10
14/05/2022
Sasa rasmi fainali ya Caf champions ligi ni baina ya
WYADAD AC na AL AHLY
14/05/2022
Rasmi sasa klabu ya Liverpool ni mabingwa wapya wa michuano ya ambayo inatimiza miaka 150
Huku kocha mkuu wa klabu hiyo akiwa mjerumani wa kwanza kushinda kombe hilo.
Makombe mawili kibindoni kati ya manne anayoshiriki
Carabao cup✅
Emirates FA✅
UEFA champions
EPL
Follow us as kwa taarifa zaidi za kimichezo
14/05/2022
MATCH DAY:
Chelsea vs Liverpool
🏟Wembley
🕒18:45 E.A.T
Follow Sports Datum]] Sports Datum]] Sports Datum]]
14/05/2022
Mshambuliaji wa klabu ya PSG pamoja na timu ya taifa ya Brazil Neymar Jr de Santos awataja wachezaji watano ambao ni mafundi zaidi yake.
1. Lionel Messi
2. Eden Hazard
3. Kevin de Bruyne
4. Marco Verratti
5. Thiago Alcantara
Tupe maoni yako kuhusu mtazamo huu
13/05/2022
Klabu Juventus alimaarufu k**a vibibi vya turini inayoshiriki ligi kuu ya Italia wamezindua jezi yao mpya ya nyumbani watakayoitumia msimu mpya wa 2022-23. ⚫️⚪
Unaipa asilimia ngapi?
13/05/2022
Klabu ya AS Roma inayoshiriki ligi kuu Italia wameutambulisha u*i wao wa nyumbani watakaoutumia msimu wa 2022-23
Je unaupa asilimia ngapi?
13/05/2022
Klabu ya AC Monaco inayoshiriki ligi kuu ya ufaransa imetambulisha u*i wao wa nyumbani(Home kit) watakaoutumia msimu wa 2022-23
Je unaupa asilimia ngapi?
12/05/2022
IT'S NORTH LONDON DERBY
TOTENHAM HOTSPUR VS ARSENAL
🏟Totenham hotspur stadium
🕒21:45 E.A.T
Follow kwa habari zaidi za michezo duniani
11/05/2022
Simbasc imeendelea kuongeza pressure kwenye mitaa ya twiga na jangwani baada ya ushindi wa 2-0 zidi ya kagera sugar.
Wafungaji wakiwa ni
Kibu 14' na
Bocco 30'
11/05/2022
The Legend Adres Iniesta Hakufunga Magoli mengi sana kila kukicha.Lakini Alipofunga Bao, Bao Hilo kwa kawaida liliipa timu yake ushindi mfano mzuri fainali za kombe la Dunia 2010 kule Afrika kusini alipoifungia timu yake ya taifa Spain na kutwaa ubingwa wa dunia.
Iwapo k**a angezaliwa katika kipindi kingine kile isipokuwa kile cha utawala Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huenda isingeshangaza kuona akishinda tuzo nyingi za Ballon D'ors. Lakini tuzo hiyo haihitajiki ili kuthibitisha jinsi gani Andres Iniesta alivyokuwa bora uwanjani.
Aliufanya mchezo uonekane rahisi & mzuri kuutazama.Alizaliwa Mei 11,1984 na leo anatimiza miaka 38.
Sisi k**a tunamtakia heri ya kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa kwake Mmoja wa Wachezaji Bora wa Muda wote.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam