26/04/2026
Manchester City tutakutana na Chelsea katika mchezo wa Fainal ya kombe la FA Cup.
//
OFFICIALS MAN CITY SWAHILI SUPPORTERS CLUB TANZANIA
26/04/2026
Manchester City tutakutana na Chelsea katika mchezo wa Fainal ya kombe la FA Cup.
//
17/04/2026
Ruben Dias, Hatakuwepo katika kikosi cha Manchester City kitakacho pambana dhidi ya Arsenal jumapili hii.... na atakuwa nje kwa wiki mbili zijazo.
Wafanyakazi wa Manchester City wamefichua kuwa beki huyo hatarajiwi kurejea kwa wakati na wanaami atakosekana kwa mwezi huu wote.
//
17/04/2026
📸 Picha kutoka kwenye mazoezi yetu ya jana ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Arsenal.
Kila mchezaji ameonekana akiwa na furaha usoni.
//
16/04/2026
MECHI YETU IJAYO:
🆚️ Arsenal
🏆 Ligi Kuu England
🏟 Etihad Stadium
⏰ Saa 12:30 jioni
🗓 19/4/2026
//
16/04/2026
Takwimu za Bernardo Silva ndani ya Manchester City:
■ Michezo 451
■ Magoli 76
■ Assist 77
//
16/04/2026
📸 Bernardo Silva
//
16/04/2026
Rasmi:
Bernardo Silva amedhibitisha na kuaga rasmi ataondoka Manchester City mwishoni mwa msimu huu wa 2025/26.
16/04/2026
Takwimu za Manchester City katika kipindi cha miaka 132 ya kuanzishwa kwake;
🏆 × 10 Ligi Kuu England
🏆 × 9 Carabao Cup
🏆 × 7 FA Cup
🏆 × 1 UEFA Champions league
🏆 × 1 UEFA Super Cup
🏆 × 1 FIFA Club World Cup
16/04/2026
Shabiki maarufu wa Manchester City Tal Rehman baada ya kuwa gumzo mitandaoni anasema:
"Sikutarajia kabisa kuwa viral. Nimepokea zaidi ya jumbe 900! Nimekuwa mshabiki mweye tiketi ya msimu mzima kwa zaidi ya miaka 30 hadi nikamwita mwanangu Yaya.
"Nilipata ile chupa mwaka jana kutoka kwa wahudumu wa afya wa Arsenal. Tunakaa karibu na benchi la ufundi la timu pinzani pale uwanja wa Man City. Mwanangu alisema ana kiu, nikajaribu kuwauliza wahudumu wa Arsenal k**a tunaweza kupata maji, wakatupa chupa ya maji nasi tukaamua kuihifadhi".
16/04/2026
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa/kuanzishwa kwa klabu yetu pendwa ya Manchester City.
City ilianzishwa mwaka 1894 na mpaka sasa kufikisha miaka 132 toka kuanzishwa kwake.
Happy Birthday Manchester City